Mwadui FC yamumunywa na Simba SC Kambarage, Mwadui 0-3 Simba

Mohamedi Ibrahim na Ibrahim ajib hawa vijana burudani ngoja nisubiri ajib anijibu majibu yangu leo
 
Mkuu.. Naona leo umejitahidi kudumu.. Nakumbuka gemu tuliyowatafuna Kagera, baada ya Muzamiru kuhamia kambani, ikawa mwisho wa updates. Leo naomba uendelee kutuhabarisha kila kinachojiri mpaka mpira utakapoisha.
 
Mkuu.. Naona leo umejitahidi kudumu.. Nakumbuka gemu tuliyowatafuna Kagera, baada ya Muzamiru kuhamia kambani, ikawa mwisho wa updates. Leo naomba uendelee kutuhabarisha kila kinachojiri mpaka mpira utakapoisha.
Najaribu kuwasaidia kuleta update na Safari yenu ya Baiskeli ya Miti.
 
Game ya leo live imenunuliwa Na ushahidi upo tutaupeleka takukuru na tff. Pia yule kocha aliyebwaga manyanga anahusika katika kufanikisha huo ununuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…