Mwadui FC yamumunywa na Simba SC Kambarage, Mwadui 0-3 Simba

SUB Dk 46, Ibrahim Ajibu anaingia uwanjani kuchukua nafasi ya Mwinyi Kazimoto, mpira umeanza
 
Dk 48, MWadui wanapata kona yao ya kwanza kipindi cha pili, inachongwa na Ismail, haina matunda
 
Kuna wakati huwa nakuwa na mashaka na watu kama hao nao ni GT? Na ilikuwaje yupo hai hadi leo maana naona akili aliyo nayo haimuwezeshi hata kuvuka barabara... Labda huwa anavushwa cha msingi usibishane nae ndg..
 
Simba Punguzeni Jazba. Ndo nini hivyo?kuna haja gani ya kumfunga mtu bao 3? Acheni jazba bwana. Bao moja tu linatosha.
 
Kuna mtu nimekaa nae hapa kwenye daladala ni shabiki wa yanga alikua amewasha redio kwenye simu naona kazima ghafla [emoji2] [emoji2]
 
52' Mins | Mwadui 0 - 3 Simba

32' , 50' Mo Ibrahim (Simba)
45' Shiza Kichuya (Simba)

********* END OF UPDATE*********
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…