[emoji23] [emoji23] [emoji23]Huyu kipa wa simba kazi yake kubwa ni kupiga goal kick. Angeweza hata kwenda kukaa bench la wachezaj wa akiba akawa anatizama mpira na wenzie. Golini hata angeweka chupa ya maji tu ingefaa kuonesha kuwa yupo. Naona kamq wamesajili bure tu halaf anachezea simba anapoteza kipaj chake maana hapati hata mipira ya kudaka ...
YANGA ndo wanajuaga viwanja vibovu!! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mwenye list ya VIWANJA VIBOVU anisaidie.
tutarajie nini kutoka kwa straika lenu hatari la kimataifa
mr mavugo?
Hizo mikia hawazioninaona jamaa wamepewa goal la offside,mbeleko fc
Bei yenu mlifika gori 3Tunge wabamiza 4hawa
Ubaya timu pinzani hazijajua udhaifu wa huyo kipa kupiga mashuti ya mbali au kushtukiza mabeki wanabeba lawama za kipa wanafuta makosa ya kipa.Huyu kipa wa simba kazi yake kubwa ni kupiga goal kick. Angeweza hata kwenda kukaa bench la wachezaj wa akiba akawa anatizama mpira na wenzie. Golini hata angeweka chupa ya maji tu ingefaa kuonesha kuwa yupo. Naona kamq wamesajili bure tu halaf anachezea simba anapoteza kipaj chake maana hapati hata mipira ya kudaka ...
Mkaoshe masufuria aliyokodi Shehe yusuph kwenye shughuliBei yenu mlifika gori 3
Waulize bei ya mbeleko piaYANGA ndo wanajuaga viwanja vibovu!! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Fununu ni kuwa Tiba tayari keshapokea mkwanja Stand inalala 2Kuna siri zimevuja kwamba simba itashinda mechi zote zilizobaki
Hawa wanabahatiBei yenu mlifika gori 3
Bila ya shaka kuna kitu unatumia na hakikupendiMforwadie hadi Marehemu baba yako do you think i care?
Hahaha..Mwenye list ya VIWANJA VIBOVU anisaidie.
Kagera ndio walioona wamehujumiwa na wao ndio wanawajua wachezaji wao vizuri wao ndio waliiona utofauti wa uchezaji wao mechi na yanga na ndio mana wakafungiaHivi Simba hawajanunua hii mechi?
Yanga ikishinda, imenunua!
Simba akishinda, ni ufundi wao.
Only in Tanzania!