Mwafrika ni Mwafrika tu 🤣🤣

Mwafrika ni Mwafrika tu 🤣🤣

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Safari njema wazee
aa7b3ec27a25ece135180d7d2f285839.jpg
 
Check hiyo mifuko ya rambo..!! Noma noma noma aibu flan naona mimi 😅😅 alipanda na hicho chakula au??
Aliwezaje kupita kwenye scanner na hiyo michuzi 😂😂😂

Wanawake wana upendo sana. Hii ni tabia ya wanawake wale wife materials na watu wa kuishi kwa mipango. Wengi hawapend kula kula tu mavyakula toka popote, wana enjoy sana kuwa real. Wana furah kuhudumia waume zao kwa mikono yao
 
upumbavu wa kiwango cha lami. kama ambavyo wao wanataka heshima basi pia wajifunze kuheshimu rules za ndege. ni tabia za ulafi wa chakula. utakufa masaa 10 ya safari ukala chakula kinachotolewa mpaka ubebe ma vyakula.
 
Check hiyo mifuko ya rambo..!! Noma noma noma aibu flan naona mimi 😅😅 alipanda na hicho chakula au??
Aliwezaje kupita kwenye scanner na hiyo michuzi 😂😂😂

Wanawake wana upendo sana. Hii ni tabia ya wanawake wale wife materials na watu wa kuishi kwa mipango. Wengi hawapend kula kula tu mavyakula toka popote, wana enjoy sana kuwa real. Wana furah kuhudumia waume zao kwa mikono yao
Aibu naona mimi kwa ulichoandika
 
Kabisa meku ,yani mimi huwa sijivungi hata Airport natafuna zangu samaki wa kukaanga nikiamua😁😁
Sisi tumetoka familia zenye chakula kingi, tunaona kawaida

Watu waliozaliwa kwenye ukosefu wa chakula lazima ajifiche fiche.

Unasafiri 10 hour's ndani ya ndege usile. Tukienda Rombo huko tunakula mpaka tinavimbiwa.
 
Sisi tumetoka familia zenue chakula kingi, tunaona kawaida

Watu waliozaliwa kwenye ukosefu wa chakula lazima ajifiche fiche.

Unasafiri 10 hour's ndani ya ndege usile. Tikienda Rombo huko tunakula mpaka tinavimbiwa.
Mangi kwel rombo mpo vizuri kuna siku nilikuja ,kuna chakula kinaitwa kena nilikula nikafurahi mno,na mbege kama bohora mbili siku yangu ikakaa poa sana😁
 
Back
Top Bottom