Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Wanakula mamchele!Bhaghosha!🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapo hujanawa kabla na baada ya kula then ukashike ngaz hv unakili ndo ukaona chochote cha muafrika kinanrangi nyeus kama kwa kushikashika ovyoKabisa meku ,yani mimi huwa sijivungi hata Airport natafuna zangu samaki wa kukaanga nikiamua😁😁
Hata mimi nimesema aibu naona mimi..Aibu naona mimi kwa ulichoandika
Sijaelewa ila nimefurahi tu😁😁hapo hujanawa kabla na baada ya kula then ukashike ngaz hv unakili ndo ukaona chochote cha muafrika kinanrangi nyeus kama kwa kushikashika ovyo
Ahaha kena kinapikwa na maziwa ya mtindi. Kuna vyakula vingi tu, ngararimo, ngandi, mtori, makafi, machalari, ndizi za maharage, mtango, rembwe, moviro. .Mangi kwel rombo mpo vizuri kuna siku nilikuja ,kuna chakula kinaitwa kena nilikula nikafurahi mno,na mbege kama bohora mbili siku yangu ikakaa poa sana😁
Ahaha pamoja sana bro 🤜 🤛Hata mimi nimesema aibu naona mimi..
Sasa sijui kuna ajab gan na wewe ukiona aibu😂
Mimi nina asili ya kibosho na machame ila rombo nimepapenda sana😅Ahaha kena kinapikwa na maziwa ya mtindi. Kuna vyakula vingi tu, ngararimo, ngandi, mtori, makafi, machalari, ndizi za maharage, mtango, rembwe, moviro. .
Trust me in Tanzania hakuna kabila lina vyakula vingi vya asili kama uchagani. .
Nimecheka hapo mbege bohora mbili. Kuwa makini na pombe nyingine, kuna siku nilipoga pombe ya maharage nusu nife. Acha kabisa
Una mchanganyiko hatari sana kuwqhi kutokea duniani, nyuma ya waarabu.Mimi nina asili ya kibosho na machame ila rombo nimepapenda sana😅
Karibu mkuu mwezi wa 12 nitakuwepoUna mchanganyiko hatari sana kuwqhi kutokea duniani, nyuma ya waarabu.
Mwakani nataka nifike kibosho huko kusabahi na kucheki mazimgira
I love that......safi sana hiiSafari njema wazee
View attachment 3129757
Ikitokea nimepanda December nitakushtuaKaribu mkuu mwezi wa 12 nitakuwepo
kumbe upoSisi tumetoka familia zenye chakula kingi, tunaona kawaida
Watu waliozaliwa kwenye ukosefu wa chakula lazima ajifiche fiche.
Unasafiri 10 hour's ndani ya ndege usile. Tukienda Rombo huko tunakula mpaka tinavimbiwa.
Hahahaahahha daaaahupumbavu wa kiwango cha lami. kama ambavyo wao wanataka heshima basi pia wajifunze kuheshimu rules za ndege. ni tabia za ulafi wa chakula. utakufa masaa 10 ya safari ukala chakula kinachotolewa mpaka ubebe ma vyakula.
Safi kabisa picha nzuri na wamependeza..Safari njema wazee
View attachment 3129757