Aibu naona mimi kwa ulichoandikaCheck hiyo mifuko ya rambo..!! Noma noma noma aibu flan naona mimi ๐ ๐ alipanda na hicho chakula au??
Aliwezaje kupita kwenye scanner na hiyo michuzi ๐๐๐
Wanawake wana upendo sana. Hii ni tabia ya wanawake wale wife materials na watu wa kuishi kwa mipango. Wengi hawapend kula kula tu mavyakula toka popote, wana enjoy sana kuwa real. Wana furah kuhudumia waume zao kwa mikono yao
Hadi kula unaona aibu. Watu wana maisha ya kuigiza.Mkuu hakuna kitu kizuri kama kuwa muafrica ni vile tu tunajipuuzia๐
Kabisa meku ,yani mimi huwa sijivungi hata Airport natafuna zangu samaki wa kukaanga nikiamua๐๐Hadi kula unaona aibu. Watu wana maisha ya kuigiza.
You are born alone, going to die alone...must live to the fulliest
Sisi tumetoka familia zenye chakula kingi, tunaona kawaidaKabisa meku ,yani mimi huwa sijivungi hata Airport natafuna zangu samaki wa kukaanga nikiamua๐๐
Mangi kwel rombo mpo vizuri kuna siku nilikuja ,kuna chakula kinaitwa kena nilikula nikafurahi mno,na mbege kama bohora mbili siku yangu ikakaa poa sana๐Sisi tumetoka familia zenue chakula kingi, tunaona kawaida
Watu waliozaliwa kwenye ukosefu wa chakula lazima ajifiche fiche.
Unasafiri 10 hour's ndani ya ndege usile. Tikienda Rombo huko tunakula mpaka tinavimbiwa.
At their age nawaunga mkono. Kula chakula mlicho jiandalia wenyewe bila vikorombwezo vingi. A secret to living longerSafari njema wazee
liView attachment 3129757
Nyuzi zako hizi๐๐Apo cha ajabu ni kudumisha uafrica๐๐kaz kwel kwel
kwasababu ni mwafrica๐๐ siwezi kosaNyuzi zako hizi๐๐
No nilikosea niliku tag uzi wa mizagamuo ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐kwasababu ni mwafrica๐๐ siwezi kosa
Mxiuuuu ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃNo nikosea niliku tag uzi wa mizagamuo ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐