Mwafrika wa Kike umeniudhi sana na wenzako!!!

Mwafrika wa Kike umeniudhi sana na wenzako!!!

Status
Not open for further replies.
Kwa hiyo mimi najionyesha onyesha siyo?

Hapana Pundit. Samahani kama umechukulia kihivyo. Mimi sitaki ugomvi wa Kiingereza na wewe ndugu yangu. Ni yule jamaa mwingine ajiitaye Nyama Hatari aka Njabu Ngabu ndio anapenda kujionyesha onyesha.
 
Hapana Pundit. Samahani kama umechukulia kihivyo. Mimi sitaki ugomvi wa Kiingereza na wewe ndugu yangu. Ni yule jamaa mwingine ajiitaye Nyama Hatari aka Njabu Ngabu ndio anapenda kujionyesha onyesha.


Got you loud and clear,
 
Hapana Pundit. Samahani kama umechukulia kihivyo. Mimi sitaki ugomvi wa Kiingereza na wewe ndugu yangu. Ni yule jamaa mwingine ajiitaye Nyama Hatari aka Njabu Ngabu ndio anapenda kujionyesha onyesha.

Nyani kwa kuuma na kupuliza!
 
Nimemrudishia mpira NN, nasubiri jibu Mama. Mimi nilishasema mara nyingi kuwa najifunza kiingereza ndiyo maana nataka kutumia kila wakati ninaopata kufanya mazoezi.

kumbe ndio maana huwa unatuchanganya, katafute sehemu ingine ya kufanyia mazoezi, ikishindikana wee endelea tu na ulichonacho au tumia swanglish.
 
Hapana Pundit. Samahani kama umechukulia kihivyo. Mimi sitaki ugomvi wa Kiingereza na wewe ndugu yangu. Ni yule jamaa mwingine ajiitaye Nyama Hatari aka Njabu Ngabu ndio anapenda kujionyesha onyesha.

he he heee heheheee, duh, salale. You made my day!
 
Nyani kwa kuuma na kupuliza!

Huyu Don King sasa

dk.jpg
 
Nyani kwa kuuma na kupuliza!

Oyaaa...wewe sasa una lako jambo....wewe ndo umeuma na kupuliza....halafu unanirushia mpira mimi. Halafu vipi mbona jina umebadili/ umepunguza? Just curious?
 
Hapana Pundit. Samahani kama umechukulia kihivyo. Mimi sitaki ugomvi wa Kiingereza na wewe ndugu yangu. Ni yule jamaa mwingine ajiitaye Nyama Hatari aka Njabu Ngabu ndio anapenda kujionyesha onyesha.

...naona jina lako jipya ni "jogajoga," yaani mtu mwoga kama kunguru wa zenji!! simama kama mwanaume wewe, acha ugoigoi...ooooho, mara watu wataomba visivyoombwa!! je utatoa, kwasababu utaki ugomvi!!?? Nyangu Ngabu, worst person of the dayyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy.
 
...naona jina lako jipya ni "jogajoga," yaani mtu mwoga kama kunguru wa zenji!! simama kama mwanaume wewe, acha ugoigoi...ooooho, mara watu wataomba visivyoombwa!! je utatoa, kwasababu utaki ugomvi!!?? Nyangu Ngabu, worst person of the dayyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy.

Translation please.......
 
...naona jina lako jipya ni "jogajoga," yaani mtu mwoga kama kunguru wa zenji!! simama kama mwanaume wewe, acha ugoigoi...ooooho, mara watu wataomba visivyoombwa!! je utatoa, kwasababu utaki ugomvi!!?? Nyangu Ngabu, worst person of the dayyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy.
Kabla hujajadili wanaoomba visivyoombwa...Kuna wale wanaopenda kutoa tuuu!
Wao wanatoa tuuu...Halafu wanasema bado wanatoa tena hadi 2010...kwi kwi..No wonder MWK hayuko hapa!
 
Halafu watu wa Michigani tunaomba information za Huyo mwanadada aliyekamatwa huko wa Kitanzania ambaye inasemekana ni chuki binafsi na sasa wanamtisha kuhusu green card yake!
 
One more reason to heed the plain skeleton philosophies of BRAZAMENI and get that coveted blue book
 
Mushi unataka kutuambia Tabitha ndio mwafrika wa kike?
 
Mushi unataka kutuambia Tabitha ndio mwafrika wa kike?
NO...Kuna mwanadada mwingine mwenye sifa kama za kimwafrika wa kike za kuwa mtu wa watu..Ambaye yuko matatizoni na ujumbe pale chini unaomba kupeleka habari popote..Sasa kuna shida gani hapo?
Tafadhali usianze SPIN hapa!
 
Sasa Mama huoni ni ujumbe nimeufikisha kwasababu na yeye Tabitha Magoti si pia ni mwafrika wa kike?
Ama ni wa kiume?
Huyo Mwafrika wa Kike unayemjua weye ni yupi huyo?
Waafrikaz wa kikez kwa wa kiumez si wako wengi tu?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom