Mwajame Dossa Aziz Anaemeza Urafiki Ndugu Baina ya Baba Yake na Julius Nyerere

Mwajame Dossa Aziz Anaemeza Urafiki Ndugu Baina ya Baba Yake na Julius Nyerere

Brother Mohamed, nafikiri heading ilitakiwa isomeke "...anaeleza..." badala ya anaemeza.

Huyu dada yuko wapi kwa sasa? Natamani kufanya naye mahojiano. Nimejaribu mara nyingi kumtafuta Rose Hamza Aziz kwa mahojiano bila mafanikio.
 
Brother Mohamed, nafikiri heading ilitakiwa isomeke "...anaeleza..." badala ya anaemeza.

Huyu dada yuko wapi kwa sasa? Natamani kufanya naye mahojiano. Nimejaribu mara nyingi kumtafuta Rose Hamza Aziz kwa mahojiano bila mafanikio.
Gagnija,
Nimekosea kama ulivyoona.

Bi. Mwajame yuko Kigamboni, Ungindoni.
 
Anasema mama Maria alikuwa na shule huko Mtoni? Sijamwelewa vizuri hapo mwanzoni mwa video.
 
Anasema mama Maria alikuwa na shule huko Mtoni? Sijamwelewa vizuri hapo mwanzoni mwa video.
Gagnija,
Huyo ni Mary Ibrahim alifungua shule ya watoto wadogo wakati wa kupigania uhuru.

Shule hii ilikuwa maarufu sana kwani ilionyesha moyo wa kujitolea wa wana TANU.
 
Anasema mama Maria alikuwa na shule huko Mtoni? Sijamwelewa vizuri hapo mwanzoni mwa video.
Gagnija,
Huyo ni Mary Ibrahim alifungua shule ya watoto wadogo wakati wa kupigania uhuru.

Shule hii ilikuwa maarufu sana kwani ilionyesha moyo wa kujitolea wa wana TANU.
 
Gagnija,
Huyo ni Mary Ibrahim alifungua shule ya watoto wadogo wakati wa kupigania uhuru.

Shule hii ilikuwa maarufu sana kwani ilionyesha moyo wa kujitolea wa wana TANU.
Nashukuru kwa ufafanuzi. Lakini kwa mujibu wa maelezo ya binti Dossa, Maria Nyerere naye kuna nyakati aliitembelea shule hiyo.
 
Mzee Mohamed Said umeanza tena kuifukuzia zawadi nyingine?😅
Mimi kwa heshima yako nakaa pembeni, maana nafurahi ukizibeba zawadi na style yako ya kutoa shukrani😃
Paki...
Mnanisusia ukumbi nyie hamtaki kutafiti na kuleta historia za kwenu sasa mimi nifanye nini?
 
Amestaafu 95 lkn umimwangalia km wema abraham, ndio mjukuu wa Aziz Ally
 
Back
Top Bottom