mambo_safi
Senior Member
- Jul 22, 2019
- 176
- 440
Mtumishi mmoja baada ya kuachakazi na kulipwa mafao yake (pungufu) akaanza kudai Mapunjo ya miezi karibia 12 yenye dhamani zaidi ya millioni 2 (hiki ni kiasi kikubwa).
Akafungua file la madai. Chakushangaza PSSSF inamwambia mteja wake kuwa Huyo mwajiri hataki kutoa ushirikiano wa kulipa hayo madai.
Sasa hawa PSSSF kazi yao nini kama wanashindwa kumbana na kumshinikiza mwajiri alipe mafao ambayo hakuwasilisha?
Mifuko ya jamii ndiyo iliyopewa rungu kwa mujibu wa sheria kuhakikisha mwajiri anawasirisha michango ya mwajiriwa na asipofanyahivyo anashitakiwa na kulazimika kulipa na faini juu.
Sasa PSSSF kuanza kulialia kwa mteja wake heti mwajiri hataki kutoa ushirikiano ina maana gani? Au ni mazingira ya rushwa?
Wadau mnamshaurije huyu anayedai ikiwa PSSSF wanazingua?
Akafungua file la madai. Chakushangaza PSSSF inamwambia mteja wake kuwa Huyo mwajiri hataki kutoa ushirikiano wa kulipa hayo madai.
Sasa hawa PSSSF kazi yao nini kama wanashindwa kumbana na kumshinikiza mwajiri alipe mafao ambayo hakuwasilisha?
Mifuko ya jamii ndiyo iliyopewa rungu kwa mujibu wa sheria kuhakikisha mwajiri anawasirisha michango ya mwajiriwa na asipofanyahivyo anashitakiwa na kulazimika kulipa na faini juu.
Sasa PSSSF kuanza kulialia kwa mteja wake heti mwajiri hataki kutoa ushirikiano ina maana gani? Au ni mazingira ya rushwa?
Wadau mnamshaurije huyu anayedai ikiwa PSSSF wanazingua?