nizakale
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,035
- 2,938
Hata akiandika barua hatajibiwa, siku hizi PSSSF ni shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Nionavyo hoja ni hilo jibu la PSSSF kumwambia mteja wake kuwa "huyo mwajiri hataki kutoa ushirikiano wa kulipa hayo madai". Hili litakuwa ni jibu la mdomo tu kutoka kwa mfanyakazi wa PSSSF.
Hebu mhusika wa mafao awaandikie barua rasmi PSSSF kuhusu kupunjwa mafao yake na kutaja hilo jibu la mdomo alilopewa na huyo mfanyakazi tuone kama jibu rasmi atakalopewa kimaandishi litasomeka hivyo hivyo kwamba mwajiri hataki kuonyesha ushirikiano.
Sent using Jamii Forums mobile app