Mwajiri alikuwa hapeleki michango ya mifuko ya hifadhi ya jamii. PSSSF wanakataa kumbana kwa mujibu wa sheria

Hata akiandika barua hatajibiwa, siku hizi PSSSF ni shida
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafadhali, jambo hili linatuhusu wengi sana. Tunamuomba sana Waziri anayehusika atusaidie tafadhali. Tulifanya kazi kwa kujituma vizuri sana. Kwa unyenyekevu mkubwa, Waziri husika tusaidie. Mungu yupo atakubariki
 
Tafadhali, jambo hili linatuhusu wengi sana. Tunamuomba sana Waziri anayehusika atusaidie tafadhali. Tulifanya kazi kwa kujituma vizuri sana. Kwa unyenyekevu mkubwa, Waziri husika tusaidie. Mungu yupo atakubariki
Kwa mira nyingi za kiafrica (Tanzania ikiwemo) vyeo vikubwa katika ajira za makampuni na mashirika na kwenye siasa watu lazima waende kutambika kwao kwenye mizimu na waganga wa kienyeji mwisho wa siku akipata kazi kwa vile alipewa na shetani utendaji wake unakuwa wa dhuruma, kutowajibika, wizi, kutotenda haki n.k.! Inakuwaje Mkurugenzi Mkuu wa PSSSF asisikie kilio cha wateja wake mpaka waje JF kujifariji?
 
Kifupi nikwamba Sasa hivi Rushwa inasumbua sana kwenye taasisi za serikari Na baadhi ya office zake.

Jana nimeshuhudia pale viwanja vya mnazi mmoja kwenye maonyesho ya week ya mwaka wa MAHAKAMA nchini, Bibi Mzee sana anaambiwa nawatu wa Nida arudi mahakamani kutengenezewa kiapo cha mama Yake baada yakuwa Na kiapo cha mama Yake ambacho nacho alitengenezewa Kwa tsh.6000/= wakati hapo hapo kwenye maonyesho kuna banda LA wanasheria! Mahakama zote kuanzia ya mwanzo mpaka MAHAKAMA KUU ypo kwaajiri yakutoa Huduma Kwa wananchi! Mimi naamini hii nchi saivi kunashida .

Hivyo hili LA mstaafu mi sishangai Mimi niliwahi kudai tsh.4ml. Nssf kwenye malipo nililiwa laki NNE.
Tutoeni Taarifa sehem husika badara yakulalamika Mimi huwa nawachoma maana niupunbavu.

Kesho naenda Nida kufata cheti cha Mtoto nasikia ukilipia bank unakaa 2 au 1 weeks ndo upate ila ukilipa cash ambayo kunachajuu km elf kumi hivi wanakupa hapohapo. Sasa nataka niandae Waya kesho nachoma MTU.
Km anapitia hapa aache hyo diri kesho nimikoa ya kanda ya ziwa, kesho nakinukisha wal-rah mtume.
Wametuchosha walizoea kutufanya mashamba yao wakati wao wanamishahara sisi ninguvu ztu
Waache Kazi km wanaona tunahela waje mitaani penye hela.
 
Aende mahakamani mahakama ndio itaweza kumbana mwajiri vizuri
Mimi nadhani asiende mahakamani kushitaki mwajiri. Aende mahakamani kushitaki PSSSF katika mkoa hule alipofungulia madai kwa kutowajibika kudai mapunjo yake. PSSSF ndo yenye nguvu za kisheria kushitaki mwajiri asipowasirisha michango ya mwajiriwa. Akisema anashitaki mwajiri itabidi aende mkoani katika mkoa hule alipo mwajiri hivyo itamgharimu nauli na malazi. Afungue shauri katika mkoa huo ilipo ofisi ya PSSSF kwa uzembe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…