Mwajuma Nasombe, DED Moshi Manispaa afukuzwe kazi

Ushauri wa Bure!!
Mwajuma ni hasara Kwa serikali, hasara inayoletwa na mkuchika ambaye Kwa Sasa sio Msaada tena Kwa serikali.
Mwajuma afukuzwe kazi
 
Ushauri wa Bure!!
Mwajuma ni hasara Kwa serikali, hasara inayoletwa na mkuchika ambaye Kwa Sasa sio Msaada tena Kwa serikali.
Mwajuma afukuzwe kazi
Inawezekana wewe ndio yule jamaa yake amekutema sasa unakuja kumkashfu. We si ndio ulikamatwa kwa kosa la kuwatifua mitaro mabinti wa kule Iringa na pia kugombana na watu kwenye pombe ukitishia mkeo ni DAS. Umeacha ulevi? Kakunyima pesa ya Pombe na ule mtaji wako wa Mbao umefirisika nini?
 
Mwajuma Nasombe, DED Moshi Manispaa ameteuliwa kukusanya fedha za uzinduzi waMwenge wa UHURU 2024.
Anakusanyia fedha na viroba Kila kona na hazina utaratibu mzuri wa kuzikusanya.
Atachota fedha nyingi na huko mwanga ameiacha Halmashauri ikiwa yatima.
Chai hii. Acha Roho mbaya dogo.
 
Sasa na wewe Kwa Akili yako ya kawaida tuu hujawahi shuhudia sinema za Wana siasa na siasa zao hasa hapa tz hao wote ni wezi hawawezi chukuliana hatua,,timu inatumwa tena ikatafune zaidi
 
Mama anateua tu kina Mwajuma kisa waislamu wenzake, acha wampige tu, kama taifa tuna hasara sana.
 
Viongozi wa CCM asilimia 98 ni wajanjawajanja. Unashangaa wakiteua wafu wa hovyo?
 
Hawa wateuliwa wa ccm kila kona ni wizi mtupu
 
Mnaushahidi au mnachafua majina ya watu tu.
 
Mweeeh
 
Mbona kama tunaongozwa na watu ili mradi tu ni watu
 
Huyo binti ana mizizi mirefu ila ni ule UDED wa Chupi. Namjua nje ndani Mwajuma wetu a.k.a Dada Mwalimu.
Yule baba Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mungu anamuona. Katujazia mademu wake kwenye kazi za umma; Samia ajitahidi kufuatilia vinginevyo nchi itaoza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…