Mwaka 1973 Misri na Syria walipigana na Israel na hawakushindwa

Mwaka 1973 Misri na Syria walipigana na Israel na hawakushindwa

Haikushindwa? Unaongea ujinga gan mkuu. Unajua kwanini misri walikubali kusain mkataba wa aman. Israel iliteka nusu ya askari wake kwa taarifa Yako. Kwenye jangwa la Sinai. Wakakosa mahtaji ndio wakalazimishwa kusain.
Enzi zile ni tofauti na sasa.Na Israel inajuwa.
Ule kwa mtazamo wako ni ushindi lakini ukweli ni kushindwa ndio maana ikalazimisho kutiliana saini.
 
Enzi zile ni tofauti na sasa.Na Israel inajuwa.
Ule kwa mtazamo wako ni ushindi lakini ukweli ni kushindwa ndio maana ikalazimisho kutiliana saini.
Mtizamo wako. Uko sahihi japo waarabu wenye akili wako kimya ndio maana hawaingilii maana wanajua wakiingilia tu. Israel akichukua ardhi harudishi. Waambie wenzio wasyria au Lebanon watakuambia.
 
Gharama kubwa za uzalishaji ndio sababu wanashindwa kuyasafisha kikamilifu kutokana na ukosefu wa malighafi muhimu katika shughuli hiyo ambayo ni mchgana.Matokeo yake watumiaji wa Ulaya mbali na bei wanayakataa kwa kutokuwa na ubora.
Unasemaje hapo.
Ukishakuwa na "Religious Bigotry" huwezi kuwa na akili ya kuelewa mambo. Ulevi wa dini ni mbaya sana kuliko ulevi wa pombe maanake haijalishi hata kama mtu amesoma lkn bado atakuwa mjinga mjinga tu.
 
Enzi zile ni tofauti na sasa.Na Israel inajuwa.
Ule kwa mtazamo wako ni ushindi lakini ukweli ni kushindwa ndio maana ikalazimisho kutiliana saini.
Aliyenyang'anywa ardhi ndio alikubali kusaini mkataba na ndio maana akarejeshewa Sinai na mwenzake Syria aliyekataa kusain mkataba hadi leo hajarejeshewa Golan Heights sasa utasema nini hapo.
 
Gharama kubwa za uzalishaji ndio sababu wanashindwa kuyasafisha kikamilifu kutokana na ukosefu wa malighafi muhimu katika shughuli hiyo ambayo ni mchgana.Matokeo yake watumiaji wa Ulaya mbali na bei wanayakataa kwa kutokuwa na ubora.
Unasemaje hapo.
Sidhani hata kama unaelewa namna mafuta yanavyosafishwa ndio maana umeandika ulichoandika.
 
Sijui kama umesoma vizuri ile historia.Marekani ilibidi apige magoti kwa nchi za kiarabu na akaiambia mshirika wake asitishe vita.Huo huoni kuwa ni ushindi wewe.Dalili zilionesha waarabu walikuwa wanakusudia kukaza kamba wote kwa pamoja.
Moderator kakuwekea historia yote.Sehemu inasomeka kuwa ingefikia mwisho wa mwaka basi hali ingekuwa ni balaa kubwa kwa nchi zote za magharibi.
Watu wanapigana mmojawao anapigwa mpaka maeneo yake yanachukuliwa halafu unasema aliyenyang'anywa eneo ndio mshindi. Hii akili ya wapi??
 
Mtizamo wako. Uko sahihi japo waarabu wenye akili wako kimya ndio maana hawaingilii maana wanajua wakiingilia tu. Israel akichukua ardhi harudishi. Waambie wenzio wasyria au Lebanon watakuambia.
Enzi zile ni tofauti na sasa.Na Israel inajuwa.Akili nyingi huondoa maarifa.
 
Enzi zile ni tofauti na sasa.Na Israel inajuwa.Akili nyingi huondoa maarifa.

Kama enzi zile tofauti na sasa kwanini hao mataifa ya kiarabu yamekaa kimya wala hawajaribu hata kupokea wakimbizi wa palestina.

Tambua walikiona cha mtema kuni na wamejifunza hii vita sio ya kuingilia hovyo,kila mtu ashinde mechi zake.

Wajinga kama wewe ndio mmebaki kupiga kelele humu na kujifariji.
 
Kama enzi zile tofauti na sasa kwanini hao mataifa ya kiarabu yamekaa kimya wala hawajaribu hata kupokea wakimbizi wa palestina.

Tambua walikiona cha mtema kuni na wamejifunza hii vita sio ya kuingilia hovyo,kila mtu ashinde mechi zake.

Wajinga kama wewe ndio mmebaki kupiga kelele humu na kujifariji.
Miaka ile waarabu walizugwa wakakubali kupokea wakimbizi wakampa nafasi myahudi kujimilikisha ardhi.Safari hii ameambiwa asitishe vita na hakuna mtu kuondoka.Na afungue mpaka misaada iingie Palestina.Mpaka sasa Israel anatiii amri japo kwa kificho.Anajuwa mambo yameshaharibika.
 
Enzi zile ni tofauti na sasa.Na Israel inajuwa.Akili nyingi huondoa maarifa.
We endelea kukaa na hiyo misemo ya kiswahili. Wenzio wamejipenyeza kila nyanja ya mifumo muhimu Dunian. . Ile system yote ya maamuz pale America ni Jews wale.
 
Back
Top Bottom