mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Imepita miaka 35. Nimekumbuka kitu kimoja. Mwaka 1988 enzi hizo Ivon Chakachaka akiwa kwenye peak,kulikuwa na mmakonde mmoja akiitwa Dk Khalid Alex mbunge wa Mtama by then,sina uhakika na jimbo ila ni huko kusini
,alikuwa na ukumbi kule kibamba Luguruni maarufu kama Makondeko.
Ule ukumbi ukienda leo hakuna hata mabaki ya tofali hata moja ulikuwa ukumbi wa kisasa kwa miaka ile,kumbuka ulikuwa utawalawa Mzee Ruksa.
Chakachaka akiwika na nyimbo zake kama Sangoma, Umkhomboti, Thank you Mr Dj, am in love with DJ, alikuwa wa moto kwelikweli ila huyu tycoon wa enzi hizo bwana Alex akafanikiwa kumleta nchini, kiingilio kilikuwa shilingi laki moja, lakini ukumbi ulifurika haswaa japo uko nje ya mji, ni miaka 35 imepita ila laki moja.
,alikuwa na ukumbi kule kibamba Luguruni maarufu kama Makondeko.
Ule ukumbi ukienda leo hakuna hata mabaki ya tofali hata moja ulikuwa ukumbi wa kisasa kwa miaka ile,kumbuka ulikuwa utawalawa Mzee Ruksa.
Chakachaka akiwika na nyimbo zake kama Sangoma, Umkhomboti, Thank you Mr Dj, am in love with DJ, alikuwa wa moto kwelikweli ila huyu tycoon wa enzi hizo bwana Alex akafanikiwa kumleta nchini, kiingilio kilikuwa shilingi laki moja, lakini ukumbi ulifurika haswaa japo uko nje ya mji, ni miaka 35 imepita ila laki moja.