Mwaka 1988 Chakachaka alipiga show Makondeko Kibamba kiingilio kilikuwa 100,000

Mwaka 1988 Chakachaka alipiga show Makondeko Kibamba kiingilio kilikuwa 100,000

Imepita miaka 35,
Nimekumbuka kitu kimoja
mwaka 1988 enzi hizo Ivon Chakachaka akiwa kwenye peak,kulikuwa na mmakonde mmoja akiitwa Dk Khalid Alex mbunge wa Mtama by then,sina uhakika na jimbo ila ni huko kusini
,alikuwa na ukumbi kule kibamba Luguruni maarufu kama Makondeko,

Ule ukumbi ukienda leo hakuna hata mabaki ya tofali hata moja ulikuwa ukumbi wa kisasa kwa miaka ile,kumbuka ulikuwa utawalawa Mzee Ruksa,

Chakachaka akiwika na nyimbo zake kama Sangoma,Umkhomboti,Thank you Mr Dj,am in love with DJ,alikuwa wa moto kwelikweli ila huyu tycoon wa enzi hizo bwana Alex akafanikiwa kumleta nchini,kiingilio kilikuwa shilingi laki moja,lakini ukumbi ulifurika aswaa japo uko nje ya mji,ni miaka 35 imepita ila laki moja !!!
Mkuu uko sahih lkn kiingilio laki hpn enz hzo nazaliwa mm mshahara wa muhandisi was manispaa hata laki haijafika Mia 430 ndio ada nalipa mm sas laki enz hzo wangetoa wapi watu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Markebisho kidogo ,
Aliyetumbuiza kwa 100,000, na ndio kilikuwa kiingilio ghali kuliko wote pale makondeko alikuwa Kanda bongoman, , na ilikuwa kati ya mwaka 1989 au 90 if my memory serves me best.
Baadaye alikuja Bozi boziana then Chaka khan , hawa kiingilio kilikuwa 70000, kama kumbukumbu zangu zipo vizuri,
Chaka khan alikuja kipindi makondeko inaanza kupoteza umaarufu na nakumbuka siku hiyo usafiri wa makondeko shuttles, ulisumbua sana watu wakarudi asubuhi mjini,
Enzi hizo usafiri wa kibamba ni basi za mlandizi na zote zinaamkia huko, basi almaarufu , kuti kavu, Dole tupu,, Bata, na pioneer

Umenikumbusha mbali sanaa,
 
LaPrima Club ilikuwepo pale Victoria ndio Alipiga Kanda bongoman mwaka, 90 kwa kiingilio cha laki wakati huo lami inaishia hapo Victoria barabara ya vumbi inaanzia hapo Victoria mpaka mwenge kuelekea huko tegeta
Kanda Bongoman alitumbuiza Makondeko pia , kwenye tour hiyo hiyo ya mwaka 1990, na ndio kilikuwa kiingilio ghali tangu makondeko ijengwe na haijawahi kutokea tena hadi ukumbi unakufa!
Enzi hizo usafiri pekee wa uhakika kufika luguruni ilikuwa ni shuttle bus za makondeko, au basi za mlandizi ambazo kutoka mjni ya mwisho ilikuwa inapita saa mbili
 
Mkuu uko sahih lkn kiingilio laki hpn enz hzo nazaliwa mm mshahara wa muhandisi was manispaa hata laki haijafika Mia 430 ndio ada nalipa mm sas laki enz hzo wangetoa wapi watu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Watu waliweza kutoa laki kwa kipindi hicho mzee!, na ukumbi ulijaaa na kufurika kabisa .sio;kwa kuambiwa , bali kushuhudia maana niliishi karibu sana na ukumbi huo miaka hiyo!
Hayo mambo ya sijui ulikuwa ni mshahara wa muhandisi achana nayo , mbona hata sasa hivi yapo ,
 
Laki moja mwaka 1988?

hao waliofurika wameacha urithi gani kwa wajukuu zao mpaka sasa?

maana laki 1 ya '88 kwa sasa ni kama milioni 1. Bei ya viwanja kumi jijini Dar kwa enzi hizo
acha kuwa na mitazamo ya kimaskini, hata kanda bongoman aliwahi kutoza kiingilio kama hicho kwenye show yake moja ya dar mwanzoni mwa 90s kama sikosei na watu walijaa.

marehemu mshua wangu na bmkubwa wangu walihudhuria hiyo show na mpaka leo picha zipo kwenye album ya familia.

speaking about urithi, mshua na bmkubwa hawakuwa matajiri, they belonged to the ordinary class of public servant but they loved going out to have fun.

pamoja na kuspend pesa yao kidogo kujipa furaha enzi za ujana wao, walijitahidi kuhakikisha watoto wao tunapata mahitaji yote muhimu hususani makazi bora na elimu kuanzia ngazi ya primary mpaka chuo kikuu.

kiufupi ukija kwetu, mimi na ndugu zangu(siblings), tupo vizuri kielimu, hatuna kilaza.
KANDA BONGO MAN ALIVYOTESA AFRIKA MASHARIKI.
 
acha kuwa na mitazamo ya kimaskini, hata kanda bongoman aliwahi kutoza kiingilio kama hicho kwenye show yake moja ya dar mwanzoni mwa 90s kama sikosei na watu walijaa.

marehemu mshua wangu na bmkubwa wangu walihudhuria hiyo show na mpaka leo picha zipo kwenye album ya familia.

speaking about urithi, mshua na bmkubwa hawakuwa matajiri, they belonged to the ordinary class of public servant but they loved going out to have fun.

pamoja na kuspend pesa yao kidogo kujipa furaha enzi za ujana wao, walijitahidi kuhakikisha watoto wao tunapata mahitaji yote muhimu hususani makazi bora na elimu kuanzia ngazi ya primary mpaka chuo kikuu.

kiufupi ukija kwetu, mimi na ndugu zangu(siblings), tupo vizuri kielimu, hatuna kilaza.
Mimi huwa nampigia salute mzee,tumezaliwa saba ila kama ni bata enzi hizo tumekula,tulilala pazuri,shule tumekwenda na mahitaji muhimu yote tulipata,wazee ww zamani salute kwao
 
Mkuu uko sahih lkn kiingilio laki hpn enz hzo nazaliwa mm mshahara wa muhandisi was manispaa hata laki haijafika Mia 430 ndio ada nalipa mm sas laki enz hzo wangetoa wapi watu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Pesa ikuwepo mkuu,nimeandika uzi huu makusudi ili tuweze kutafakari,miaka zaidi ya 30 lakini kiingilio cha laki moja ilikuwa kawaida tu na ukumbi ulijaa pomoni,hii sio story wala sio chai nilikuwana akili zangu timamu by then
 
Mimi huwa nampigia salute mzee,tumezaliwa saba ila kama ni bata enzi hizo tumekula,tulilala pazuri,shule tumekwenda na mahitaji muhimu yote tulipata,wazee ww zamani salute kwao
binafsi nimerithi baadhi ya itikadi za marehemu mshua linapofika suala la kujipa furaha.

mitego yangu ya mkwanja ikiteguka vizuri, halafu nikaweka sawa baadhi ya mahitaji muhimu ya familia, huwa sipendi kujibana. kujipa furaha becomes my number one priority.

maisha yenyewe mafupi haya.ukifika 40 bila kuwa na maradhi kama ukimwi, kisukari,cancer, BP nk, unamshukuru Mungu.
 
At this age... never paid anything to see anything.... sehem ikishakuwa na kiingilio siend hata iweje... unless it's a really really noble cause/ very serious plessure that comes with connections of some sort....
Mind you I do everything ... social drinks, spends on foods and drinks, ladies etc.... ila ikishakuwa na entrance fee .. hell No.

I can imagine 100k those days...
 
Watu waliweza kutoa laki kwa kipindi hicho mzee!, na ukumbi ulijaaa na kufurika kabisa .sio;kwa kuambiwa , bali kushuhudia maana niliishi karibu sana na ukumbi huo miaka hiyo!
Hayo mambo ya sijui ulikuwa ni mshahara wa muhandisi achana nayo , mbona hata sasa hivi yapo ,
Nawaheshimu malegen ila hyo kiingilio Cha laki siyo Kweli kbsa labda buku 1000 enzi hzo ndio equal to laki mnk mwaka 1990 ada yangu mm Ni 430 na mzee wangu Ni mhandisi wa manispal lkn Hali ilukuwa tete Bado narud omu kwa kukoza ada Sasa hyo laki Ni watz wangapi wangepata

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom