Nini usichoamini broo ,
Watu waliingia makondeko kwa laki mwaka 1990, sio kwa kuambiwa bali nilishuhudia kabisa
Kanda bongoman alipokuja Tqnzania , hakuna sehemu alitumbuza chini ya kiingilio cha laki.
Soda mtaani ilikuwa ina uzwa sh 20 hadi 25, ila siku ile pale iliuzwa karibu na sh 100.
For the records, nauli ya basi mjini kote na uda ilijuwa kwa basi la uda sh 5, ndo sababu ikaitwa dala dala (dollar dollar ) , inasemekana ila:sina uhakika kuwa dola ilikaa muda mrefu ikiwa na thamani ya shilingi tano za kitanzania , ilipotoka tharafu ya shilingi tano , wajanja walikuwa wanaita 1 dollar waswahilib tukageuza dala.
Kutoka hapo makondeko kwenda kariakoo enzi hizo nauli ilukuwa sh 12 , na ndo ilikuwa ni nauli kubwa kwa outskirts suburbs na dar, ifuatiwa na tegeta., Mkuranga kisemvule , mvuti, mwanambaya , kwa miaka hiyo yakiwa ni makazi ya simba na binadamu wachache wabishi.