Mwaka 1988 Chakachaka alipiga show Makondeko Kibamba kiingilio kilikuwa 100,000

Mwaka 1988 Chakachaka alipiga show Makondeko Kibamba kiingilio kilikuwa 100,000

Mzee aseme ukweli asichanganye na show ya Michael Jackson mwak 90 ++ ilikuwa Bei kubwa

I'll laki kwa yvone chakachak Ni uongo mkubwa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Michael Jackson hakuwahi kufanya show yoyote Daslam, we hiyo bei kubwa kwa show ya michael jackon umeitoa wap?
Michel alishuka vingunguti akaelekea Sinza shule maalum ya watoto yatima . Inasemekana safari yote kutoka airport alikuwa kaziba pua akimaanisha kuwa hewa yetu ni chafu!!! , nakumbuka nilikuwa nasoma ubungo NH , tulikusanyika na wanafunzi wa mugabe primary kwenda sinza kumuangalia jamaa , lakini wengi wetu hatukufanikiwa kumuona ,
 
Imepita miaka 35,
Nimekumbuka kitu kimoja
mwaka 1988 enzi hizo Ivon Chakachaka akiwa kwenye peak,kulikuwa na mmakonde mmoja akiitwa Dk Khalid Alex mbunge wa Mtama by then,sina uhakika na jimbo ila ni huko kusini
,alikuwa na ukumbi kule kibamba Luguruni maarufu kama Makondeko,

Ule ukumbi ukienda leo hakuna hata mabaki ya tofali hata moja ulikuwa ukumbi wa kisasa kwa miaka ile,kumbuka ulikuwa utawalawa Mzee Ruksa,

Chakachaka akiwika na nyimbo zake kama Sangoma,Umkhomboti,Thank you Mr Dj,am in love with DJ,alikuwa wa moto kwelikweli ila huyu tycoon wa enzi hizo bwana Alex akafanikiwa kumleta nchini,kiingilio kilikuwa shilingi laki moja,lakini ukumbi ulifurika aswaa japo uko nje ya mji,ni miaka 35 imepita ila laki moja !!!
Hakuna kudumucho chini ya jua. Niliwahi kuutembelea kipindi unaelekea mautini
 
Hili la kanda bongoman kupiga kwa 100,000tsh kiingilio,ukumbi aliopiga sio pale Kilimanjaro Hotel?au Nina mic something hapa?
Alipiga uwanja wa Taifa , laprima club Makondeko na kilimanjaro kama sikosei kote kiingilio kilikuwa 100000, na tickets sold out
Kukikuwa na maneno kwamba promoter aliyemleta alibaki na madeni pamoja na kiingilio kuwa kibubwa , Kanda bongoman alikuwa very expensive .
 
Alipiga uwanja wa Taifa , laprima club Makondeko na kilimanjaro kama sikosei kote kiingilio kilikuwa 100000, na tickets sold out
Kukikuwa na maneno kwamba promoter aliyemleta alibaki na madeni pamoja na kiingilio kuwa kibubwa , Kanda bongoman alikuwa very expensive .
Salute mkuu una kumbukumbu,uko sahihi
 
Imepita miaka 35,
Nimekumbuka kitu kimoja
mwaka 1988 enzi hizo Ivon Chakachaka akiwa kwenye peak,kulikuwa na mmakonde mmoja akiitwa Dk Khalid Alex mbunge wa Mtama by then,sina uhakika na jimbo ila ni huko kusini
,alikuwa na ukumbi kule kibamba Luguruni maarufu kama Makondeko,

Ule ukumbi ukienda leo hakuna hata mabaki ya tofali hata moja ulikuwa ukumbi wa kisasa kwa miaka ile,kumbuka ulikuwa utawalawa Mzee Ruksa,

Chakachaka akiwika na nyimbo zake kama Sangoma,Umkhomboti,Thank you Mr Dj,am in love with DJ,alikuwa wa moto kwelikweli ila huyu tycoon wa enzi hizo bwana Alex akafanikiwa kumleta nchini,kiingilio kilikuwa shilingi laki moja,lakini ukumbi ulifurika aswaa japo uko nje ya mji,ni miaka 35 imepita ila laki moja !!!
Picha au video ikowapi?
 
Legend
hata mie nilikuwa nashangaa hiyo show Michel jackson alipiga wapi. Nakumbuka kulikuwa na uvumi kuwa aliposhuka airport alifunika pua yake kuashiria kuwa Dar inanuka na akaishia sinza kwa watoto yatima.
Huyu jamaa ni muongo yet amekuwa akiwashutumu wenzake kuwa ndio waongo.
Uko sahihi mkuu nimemshangaa kuandika eti Michael Jackson alipiga show,kichwa chake ameshakichanganya na vitu haramu anapoteza kumbukumbu
 
Back
Top Bottom