Kuna Kanda Bongo Man alipiga hapo makumbusho kwa Mzee Lyimo Club ilikua moto sana.
Kiingilio ilikua 100000 hiyo hiyo na tkt ziliisha miaka hiyohiyo.
Madogo wanakwambia haiwezekani laki mtu atoe kwenye show ya rhumba,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna Kanda Bongo Man alipiga hapo makumbusho kwa Mzee Lyimo Club ilikua moto sana.
Kiingilio ilikua 100000 hiyo hiyo na tkt ziliisha miaka hiyohiyo.
Unakah ddm ipi kijana unakah ka hombolo nni au chamwino ikulu ndogoNashangaa Dodoma bado haikui kwa miaka 6 ambayo Serikali imehamia, ila Dsm ukifika kkoo panavunjwa hatari
SAS unafananishaje ddm.na DSM mzee HV Kweli ununio ,mbweni Ni sawa na sehemu Kama ilazo extension ,nzuguni kwa gharama za viwanjaMaana ukienda hapo ununio, bunju viwanja bei yake haishikiki.
Ila Dodoma bei bado ya kawaida
Mzee katu usifananishe ddm na tukuyu mzee daah nakuheshimu San ila Bei ya mashmba ya tukuyu siyo sawa kbsa na Bei ya ddm mm Niko ddm naifahamu Bei ya viwanja vyake vyoteUnunio, bunju, mbweni, kijichi hizo ni prime area, kwa dom thamani ya ardhi bado iko chini yaani bei ya kiwanja tukuyu pale mjini kupata kiwanja ni gharama kubwa kuliko maeneo mengi Dodoma na hivi alivokufa magufuli kasi ya bei za viwanja ilipungua, sawa na bei ya viwanja mtwara ya gesi pale mjini ilikua haishikiki ilishinda hadi maeneo mengi Dar, sawa na mtu anasema kilimanjaro hakuna viwanja wakati ukisogea Hai pale boma kwa mbele kule hadi milioni 4 plot unapata vizuri kabisa, kwahiyo thamani ya sehemu ni aina ya watu wanaoishi na shughuli zao
Una uhakika na usemacho?Unakah ddm ipi kijana unakah ka hombolo nni au chamwino ikulu ndogo
Ddm ndio jiji linakuwa kwa la kas HV SAS mbele ya dsm HV sas
Lbda ukuwaji wa mjin wee unautasamaje kijana himarss
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Watu walikua na hela.Madogo wanakwambia haiwezekani laki mtu atoe kwenye show ya rhumba,
Dr. Alex Khalidi (RIP) alikuwa Mbunge wa Mitema Newala (siyo Mtama), ndiye alikuwa mmiliki wa Makondeko hapo Luguruni Dsm. Kimsingi yeye ndiye alimleta Yvonne Chakachaka hapa Tanzania mwaka 1988 lakini mwanamuziki huyo hakufanya show Makondeko bali alifanya show 3, ya kwanza alifanya Kilimanjaro Kempinski ambako kiingilio kilikuwa Tshs. 100,000/=, show nyingine alizifanyia Diamond Jubilee na TPA sabasaba ambako viingilio vyake havikuzidi 20,000/= Nakumbuka kwenye ziara yake hiyo, Yvonne Chakachaka aliambatana na mumewe na mtoto wao mdogo. Naomba kuwasilisha.Imepita miaka 35,
Nimekumbuka kitu kimoja
mwaka 1988 enzi hizo Ivon Chakachaka akiwa kwenye peak,kulikuwa na mmakonde mmoja akiitwa Dk Khalid Alex mbunge wa Mtama by then,sina uhakika na jimbo ila ni huko kusini
,alikuwa na ukumbi kule kibamba Luguruni maarufu kama Makondeko,
Ule ukumbi ukienda leo hakuna hata mabaki ya tofali hata moja ulikuwa ukumbi wa kisasa kwa miaka ile,kumbuka ulikuwa utawalawa Mzee Ruksa,
Chakachaka akiwika na nyimbo zake kama Sangoma,Umkhomboti,Thank you Mr Dj,am in love with DJ,alikuwa wa moto kwelikweli ila huyu tycoon wa enzi hizo bwana Alex akafanikiwa kumleta nchini,kiingilio kilikuwa shilingi laki moja,lakini ukumbi ulifurika aswaa japo uko nje ya mji,ni miaka 35 imepita ila laki moja !!!
Huyu ni mtoto mwenzenu,Mdukuzi yuko sahihi sanaSisi wa 90’s tunawasikiliza tu nyie wakongwe wetu
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Dodoma haina asili ya wapambanaji kiuchumi wagogo bado wavivu sana , uwepo wa vyuo, bunge vikao vya viongozi kila leo, achilia mbali kwa sasa serikali imehamia jumla ingekua ni wapambanaji dom ingesahaulika miaka 10 tu, halafu Dar kamwe tusiifananishe na mkoa wowote Tanzania, dar ni lango kuu la kutokea na kuingia Tanzania bado Dar itabaki kua Dar, sehemu ambayo bado itakua muhimu kwa uchumi wa nchi yetu, acha ligi za Arusha na mwanza, njombe na kahama, ziendelee lakini bado Dar ni dude kubwa sana
Kipindi hicho noti kubwa ilikuwa ya bei gani? Nauliza coz nilikuwa sijazaliwa bado.Nawaheshimu malegen ila hyo kiingilio Cha laki siyo Kweli kbsa labda buku 1000 enzi hzo ndio equal to laki mnk mwaka 1990 ada yangu mm Ni 430 na mzee wangu Ni mhandisi wa manispal lkn Hali ilukuwa tete Bado narud omu kwa kukoza ada Sasa hyo laki Ni watz wangapi wangepata
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mtupishe Hawa vijan wa zamani walikuwa fix Sana kukuza mambo wakt yeye binafs hukuwepo kwenye show Wala eneo la tukio Zaid Sana alikuwa kwao namtumbo huko kufika dar Ni week mbili
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Siwezi kukubishia mkuu maana ni muda mrefu na nilikuwa mdogo,hoja kuu ilikuwa kiingilio,nimejiuliza ina maana sarafu yetu imeimarika sana,laki moja bado inaonekana ni nyingi kwa kiingilio cha kumuona msanii ila kipindi kile wazee wetu walilipaDr. Alex Khalidi (RIP) alikuwa Mbunge wa Mitema Newala (siyo Mtama), ndiye alikuwa mmiliki wa Makondeko hapo Luguruni Dsm. Kimsingi yeye ndiye alimleta Yvonne Chakachaka hapa Tanzania mwaka 1988 lakini mwanamuziki huyo hakufanya show Makondeko bali alifanya show 3, ya kwanza alifanya Kilimanjaro Kempinski ambako kiingilio kilikuwa Tshs. 100,000/=, show nyingine alizifanyia Diamond Jubilee na TPA sabasaba ambako viingilio vyake havikuzidi 20,000/= Nakumbuka kwenye ziara yake hiyo, Yvonne Chakachaka aliambatana na mumewe na mtoto wao mdogo. Naomba kuwasilisha.
Elfu kumi ya bluu,sio hii nyekundu
Kulikuwa na mabasi speciabpale Mnazi Mmoja to Makondeko. Na Kanda alikuja akapiga kwa 100k Kilimanjaro Hotel.Imepita miaka 35,
Nimekumbuka kitu kimoja
mwaka 1988 enzi hizo Ivon Chakachaka akiwa kwenye peak,kulikuwa na mmakonde mmoja akiitwa Dk Khalid Alex mbunge wa Mtama by then,sina uhakika na jimbo ila ni huko kusini
,alikuwa na ukumbi kule kibamba Luguruni maarufu kama Makondeko,
Ule ukumbi ukienda leo hakuna hata mabaki ya tofali hata moja ulikuwa ukumbi wa kisasa kwa miaka ile,kumbuka ulikuwa utawalawa Mzee Ruksa,
Chakachaka akiwika na nyimbo zake kama Sangoma,Umkhomboti,Thank you Mr Dj,am in love with DJ,alikuwa wa moto kwelikweli ila huyu tycoon wa enzi hizo bwana Alex akafanikiwa kumleta nchini,kiingilio kilikuwa shilingi laki moja,lakini ukumbi ulifurika aswaa japo uko nje ya mji,ni miaka 35 imepita ila laki moja !!!
Ni kweli enzi hizo hakuna mtu ambaye hakuwahi kuusikia ulikuwa nimaarufu mnooo.Upo Kibamba mbele kidogo ya mbezi mwisho,enzi hizo ulikuwa ukumbi wa kisasa aswaa
atu mbona wanalipa milioni kwa shoo moja tu ya kulala sehemu.Msahara na mipango ya starehe vinaingiliana vipi.Watu waliweza kutoa laki kwa kipindi hicho mzee!, na ukumbi ulijaaa na kufurika kabisa .sio;kwa kuambiwa , bali kushuhudia maana niliishi karibu sana na ukumbi huo miaka hiyo!
Hayo mambo ya sijui ulikuwa ni mshahara wa muhandisi achana nayo , mbona hata sasa hivi yapo ,