Mwaka 1988 Chakachaka alipiga show Makondeko Kibamba kiingilio kilikuwa 100,000

Mwaka 1988 Chakachaka alipiga show Makondeko Kibamba kiingilio kilikuwa 100,000

Dodoma haina asili ya wapambanaji kiuchumi wagogo bado wavivu sana , uwepo wa vyuo, bunge vikao vya viongozi kila leo, achilia mbali kwa sasa serikali imehamia jumla ingekua ni wapambanaji dom ingesahaulika miaka 10 tu, halafu Dar kamwe tusiifananishe na mkoa wowote Tanzania, dar ni lango kuu la kutokea na kuingia Tanzania bado Dar itabaki kua Dar, sehemu ambayo bado itakua muhimu kwa uchumi wa nchi yetu, acha ligi za Arusha na mwanza, njombe na kahama, ziendelee lakini bado Dar ni dude kubwa sana
Maana ukienda hapo ununio, bunju viwanja bei yake haishikiki.
Ila Dodoma bei bado ya kawaida
 
Maana ukienda hapo ununio, bunju viwanja bei yake haishikiki.
Ila Dodoma bei bado ya kawaida

Ununio, bunju, mbweni, kijichi hizo ni prime area, kwa dom thamani ya ardhi bado iko chini yaani bei ya kiwanja tukuyu pale mjini kupata kiwanja ni gharama kubwa kuliko maeneo mengi Dodoma na hivi alivokufa magufuli kasi ya bei za viwanja ilipungua, sawa na bei ya viwanja mtwara ya gesi pale mjini ilikua haishikiki ilishinda hadi maeneo mengi Dar, sawa na mtu anasema kilimanjaro hakuna viwanja wakati ukisogea Hai pale boma kwa mbele kule hadi milioni 4 plot unapata vizuri kabisa, kwahiyo thamani ya sehemu ni aina ya watu wanaoishi na shughuli zao
 
Mule watu waliforce kujenga

Miaka hiyo kulikuwa na River Sinza, Lake Mwananyamala, Lake Tandale na Lake Magomeni

Maji hayasahau mkondo na njia zake ndio maana mvua zikinyesha hilo huwa linadhihirika maeneo hayo

Maji na tembo hua hawasahu njia, lakini ajabu ya maji anapojenga binadamu yanakimbia kwanza na hurudi kwa msimu,
 
Mule watu waliforce kujenga

Miaka hiyo kulikuwa na River Sinza, Lake Mwananyamala, Lake Tandale na Lake Magomeni

Maji hayasahau mkondo na njia zake ndio maana mvua zikinyesha hilo huwa linadhihirika maeneo hayo
Dah hii ndio nasikia leo kumbe
 
Back
Top Bottom