Mwaka 1988 Chakachaka alipiga show Makondeko Kibamba kiingilio kilikuwa 100,000

Mwaka 1988 Chakachaka alipiga show Makondeko Kibamba kiingilio kilikuwa 100,000

Tupe story za city pub na mbeya pazuri na ueleze bata hua likoje anzia uyole, mbalizi, iyunga pale breakpoint, mafiati pale carnival, sae pub, au tueleze hata viwanja vipya vya mama john, sisi hapa ni story tu hatuna maneno na mtu
Bata uwe na ela mkuu
Sisi wengine bata letu linaishia kwa mchungaji abiudi kishindo nyumbani🤣🤣🤣🤣🤣
 
Yawezekana anamfananisha Mj wa USA na yule wa Ruaha Galaxy enzi zile teh teh
Ruaha Galaxy pale Kimara Korogwe miaka ya 90 mwanzoni ulitamba sana. Shoo za wasanii wa enzi hio zimepigwa sana pale

Kule Kimara mwisho kulikuwa na ukumbi wa washua ulikuwa unaitwa Kimara Motel umejificha mazingira tulivu sana sasa hivi umefanywa shule ya Midlands
 
Ruaha Galaxy pale Kimara Korogwe miaka ya 90 mwanzoni ulitamba sana. Shoo za wasanii wa enzi zimepigwa sana pale

Kule Kimara mwisho kulikuwa na ukumbi wa washua ulikuwa unaitwa Kimara Motel umejificha mazingira tulivu sana sasa hivi umefanywa shule ya Midlands
Basi MJ wa Bongo alikuwa ananing`inia kwenye visigino kumuigiza MJ original, basi ilikuwa hatari tupu.
 
Kuhusu ''dala dala''. Magari yaliitwa daladala kwa sababu yalikuwa yanachaji sh. 5 ambayo ilikuwa ni ile sarafu ya pembe iliyokuwa inaitwa dala. Miaka hiyo senti 20 ilikuwa inaitwa ''mbuni'' sh 1 ikiitwa ''mwenge'' sh 5 ndiyo iliitwa ''dala''. Kuna magari yaliyokuwa yanajiibia kubeba abiria wakifika kituoni wanasema ''dala dala, dala dala''', yaani sh tano, sh tano sh tano
Naelewa kuwa dala ilikuwa ni shilingi tano,
Nilikuwa najaribu kuelezea kwa nini ile sarafu ya sh 5 iliitwa dala!!
One dollar ilikaa muda mrefu sana ilikwa na thamani ya sh 5 , ile sarafu ilipotoka ikaitwa one dollar , waswahili tukaibatiza dala
 
tumsamehe bureeeeee, hajui tupo watoto wa mnazi mmoja humu. Muulize Pat Shange alikuja lini pale Taifa.
Mimi nimesoma mnazi mmoja primary headteacher akiitwa Chalila baadae akaja Mtolela,namkumbzka mwalimu mtenga
Pesa ilikuwepo kipindi hicho. Mzee wangu alisafiri mwaka 1994 dar hadi malawi kwenda tamasha la mnyama lucky dube.
Ahaa mzee wako alitisha,mzee Ruksa hatutamsahau
 
Naelewa kuwa dala ilikuwa ni shilingi tano,
Nilikuwa najaribu kuelezea kwa nini ile sarafu ya sh 5 iliitwa dala!!
One dollar ilikaa muda mrefu sana ilikwa na thamani ya sh 5 , ile sarafu ilipotoka ikaitwa one dollar , waswahili tukaibatiza dala
Na mimi hili nimelisikia sana japo huwa naamini kuna uwezekano sababu ikawa nyingine, au ilipewa tu hilo jina na watoto wa mjini tu kwa sababu kila sarafu au noti ilikuwa na jina lisilo rasmi.
 
Basi nilikulia manerumango, au nilikulia bwejuu, au nilikulia lituhi , au nilikulia soni lushoto, au nilikulia nyambui musoma, au nilikulia utete ya ikwiriri, au nilikulia kaparamsenga ya kigoma au nilikulia malamba ya tanga, au nilikulia laela ya sumbawanga, au nilikulia malya ya kwimba, au nilikulia kitangari ya mtwara, au nilikulia mgudenj ya mlimba moro huko au nilikulia kifanya ya njombe au nilikulia igurusi au ihanda ya tunduma, au nilikua majimoto ya mpanda, au tufanye kisarawe kisha nikahamia chanika baadae nikahamia kiwalani ya airport au tufanye tandale uzuri, au tufanye nilikulia kiponzelo iringa huko au nilikulia ruangwa na ikuti huko tukuyu au nilikulia mondo huko kondoa, au nilikulia lugoba, au nilikulia majita huko musoma, au nilikulia njoro same huko au tufanye nilikulia ndungu milimani, au chagua wewe then mimi nitakubali
Itoshe kusema wewe ni born town uliyetembea hapa nchini .

Arovera bado kirando panatema au kwasasa ni buyubuyu ?
 
Matajiri wengi wakubwa Tanzania waliibuka kwa Mzee Mwinyi, wengine wakaja kupata pesa kwa kikwete utawala wa marais wengine pesa haikuepo, enzi za Mwinyi ndio watu walikula bata Mtu akitoa mzigo zanzibar akifika Dar anakuta watu hadi wazimbabwe wanasubiri, dili za magendo zikazaliwa kipindi hicho lakini utawala wa mwinyi ndio ulizaa hadi matapeli wakubwa hadi strong room na wazee wa bandari ilikua kwa mwinyi na mkapa kidogo,
Wapi papa Musofe ? Je kizaizai ila sitamsahau wala kumsamehe Mzamiru Katunzi
 
Nimekupa mfano hapo juu , ukienda beach kidimbwi leo huo mshahara wako wa miezi mitatu mfululizo mtu anamaliza ndani ya masaa tu, na kidimbwi sio popular kwa watu wanaotumia pesa mjini hapa infact kumekaa kihuni,, zipo sehemu access tu ya kuhudumiwa watu wanaangalia umepark gari gani
Siku watembelee pale Hyatt Regency level 8 wajionee watu wanaotumia pesa hapa mjini
 
Back
Top Bottom