Mwaka 1988 Chakachaka alipiga show Makondeko Kibamba kiingilio kilikuwa 100,000

Mwaka 1988 Chakachaka alipiga show Makondeko Kibamba kiingilio kilikuwa 100,000

Mwezio anasema eti lakiilikuwa matumizi ya wilaya nzima ya kinondoni, miaka hiyo ya 88 , sasa we unamuona huyu mzima kweli?
Kwa kuwa baba ake mhandisi alishindwa kuwapa good times wanawe basi anadhani kila mtu ipo hivyo
Ni mshamba mixer roho mbaya na wivu very deadly combination, .
huyu ukimsimulia khabari za kina Idd janguo na kufuru zake anaweza kwenda kulala kwa mganga wa kienyeji.

Matajiri wengi wakubwa Tanzania waliibuka kwa Mzee Mwinyi, wengine wakaja kupata pesa kwa kikwete utawala wa marais wengine pesa haikuepo, enzi za Mwinyi ndio watu walikula bata Mtu akitoa mzigo zanzibar akifika Dar anakuta watu hadi wazimbabwe wanasubiri, dili za magendo zikazaliwa kipindi hicho lakini utawala wa mwinyi ndio ulizaa hadi matapeli wakubwa hadi strong room na wazee wa bandari ilikua kwa mwinyi na mkapa kidogo,
 
Imepita miaka 35,
Nimekumbuka kitu kimoja
mwaka 1988 enzi hizo Ivon Chakachaka akiwa kwenye peak,kulikuwa na mmakonde mmoja akiitwa Dk Khalid Alex mbunge wa Mtama by then,sina uhakika na jimbo ila ni huko kusini
,alikuwa na ukumbi kule kibamba Luguruni maarufu kama Makondeko,

Ule ukumbi ukienda leo hakuna hata mabaki ya tofali hata moja ulikuwa ukumbi wa kisasa kwa miaka ile,kumbuka ulikuwa utawalawa Mzee Ruksa,

Chakachaka akiwika na nyimbo zake kama Sangoma,Umkhomboti,Thank you Mr Dj,am in love with DJ,alikuwa wa moto kwelikweli ila huyu tycoon wa enzi hizo bwana Alex akafanikiwa kumleta nchini,kiingilio kilikuwa shilingi laki moja,lakini ukumbi ulifurika aswaa japo uko nje ya mji,ni miaka 35 imepita ila laki moja !!!
Kwenye huo ukumbi kulikuwa na section inaitwa Mbinguni hall. Ni kama sehemu ya VIP hivi!
 
Matajiri wengi wakubwa Tanzania waliibuka kwa Mzee Mwinyi, wengine wakaja kupata pesa kwa kikwete utawala wa marais wengine pesa haikuepo, enzi za Mwinyi ndio watu walikula bata Mtu akitoa mzigo zanzibar akifika Dar anakuta watu hadi wazimbabwe wanasubiri, dili za magendo zikazaliwa kipindi hicho lakini utawala wa mwinyi ndio ulizaa hadi matapeli wakubwa hadi strong room na wazee wa bandari ilikua kwa mwinyi na mkapa kidogo,
Hivi Wahaya walitapeliwa kipindi cha Mwinyi, na ile Bijampora mitaa ya Magomeni. Wahaya hoyeeee
 
nikuulize swali la kizushi kama wewe kweli mtoto wa mjini, Mgahawa wa chai wenye miaka mingi sana hapo dar unaujua ulipo na unaitwa jina gani na una miaka mingapi sasa?
Mi sio mtoto wa mjini🤣🤣🤣🤣🤣
Niko zangu uyole huku
 
[mention]Malila [/mention] na [mention]tbjlj [/mention] Michael Jackson hakupata kutumbuiza lakini mwaka 1992 alitembelea nchi nne za Africa kwa ziara binafsi ambapo alitembelea ivorycoast, Kenya na Tanzania na nchi nyingine nimesahau, kuja Tanzania ilikua Rais mwinyi anataka MJ aende akapige picha serengeti na mlima kilimanjaro ili wazitumie kwenda kutangaza utalii duniani huko, lakini dili haikufika mwisho na nakumbuka aliondoka Tanzania kurudi kenya ambako hakukaa akaenda london na ilikuja kufahamika baadae kua meneja wake alimpatia dili nyingine kubwa huko hivo ikaishia tu Rais mwinyi kupiga picha na MJ
IMG_1357.jpg

IMG_1356.jpg
 
Mwezio anasema eti lakiilikuwa matumizi ya wilaya nzima ya kinondoni, miaka hiyo ya 88 , sasa we unamuona huyu mzima kweli?
Kwa kuwa baba ake mhandisi alishindwa kuwapa good times wanawe basi anadhani kila mtu ipo hivyo
Ni mshamba mixer roho mbaya na wivu very deadly combination, .
huyu ukimsimulia khabari za kina Idd janguo na kufuru zake anaweza kwenda kulala kwa mganga wa kienyeji.
nimegundua jamaa ni mshamba proper.
hawa ndio wale watu ambao mioyo yao imejaa chuki dhidi ya watu waliowazidi maisha.
 
Mi sio mtoto wa mjini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Niko zangu uyole huku

Tupe story za city pub na mbeya pazuri na ueleze bata hua likoje anzia uyole, mbalizi, iyunga pale breakpoint, mafiati pale carnival, sae pub, au tueleze hata viwanja vipya vya mama john, sisi hapa ni story tu hatuna maneno na mtu
 
Nini usichoamini broo ,
Watu waliingia makondeko kwa laki mwaka 1990, sio kwa kuambiwa bali nilishuhudia kabisa
Kanda bongoman alipokuja Tqnzania , hakuna sehemu alitumbuza chini ya kiingilio cha laki.
Soda mtaani ilikuwa ina uzwa sh 20 hadi 25, ila siku ile pale iliuzwa karibu na sh 100.

For the records, nauli ya basi mjini kote na uda ilijuwa kwa basi la uda sh 5, ndo sababu ikaitwa dala dala (dollar dollar ) , inasemekana ila:sina uhakika kuwa dola ilikaa muda mrefu ikiwa na thamani ya shilingi tano za kitanzania , ilipotoka tharafu ya shilingi tano , wajanja walikuwa wanaita 1 dollar waswahilib tukageuza dala.
Kutoka hapo makondeko kwenda kariakoo enzi hizo nauli ilukuwa sh 12 , na ndo ilikuwa ni nauli kubwa kwa outskirts suburbs na dar, ifuatiwa na tegeta., Mkuranga kisemvule , mvuti, mwanambaya , kwa miaka hiyo yakiwa ni makazi ya simba na binadamu wachache wabishi.
Kuhusu ''dala dala''. Magari yaliitwa daladala kwa sababu yalikuwa yanachaji sh. 5 ambayo ilikuwa ni ile sarafu ya pembe iliyokuwa inaitwa dala. Miaka hiyo senti 20 ilikuwa inaitwa ''mbuni'' sh 1 ikiitwa ''mwenge'' sh 5 ndiyo iliitwa ''dala''. Kuna magari yaliyokuwa yanajiibia kubeba abiria wakifika kituoni wanasema ''dala dala, dala dala''', yaani sh tano, sh tano sh tano
 
[mention]Malila [/mention] na [mention]tbjlj [/mention] Michael Jackson hakupata kutumbuiza lakini mwaka 1992 alitembelea nchi nne za Africa kwa ziara binafsi ambapo alitembelea ivorycoast, Kenya na Tanzania na nchi nyingine nimesahau, kuja Tanzania ilikua Rais mwinyi anataka MJ aende akapige picha serengeti na mlima kilimanjaro ili wazitumie kwenda kutangaza utalii duniani huko, lakini dili haikufika mwisho na nakumbuka aliondoka Tanzania kurudi kenya ambako hakukaa akaenda london na ilikuja kufahamika baadae kua meneja wake alimpatia dili nyingine kubwa huko hivo ikaishia tu Rais mwinyi kupiga picha na MJ
View attachment 2582394
View attachment 2582395
Nimeshangaa sana kijana alitaka kupotosha eti show ya Michael Jackson
 
Nimemtajia kidimbwi na matumizi yake maana najua kama yupo seriuos anaweza kwenda kuhakikisha mwenyewe kidimbwi pa kihuni flan
Huko Element mbali sana anaweza asipate acces ya kufika.
Mnabisha na wanafunzi wa shule wanajua nini? Wanadhani kama hawana fedha basi kila mtu hana! Kuna watu wanatumia siyo mchezo.
 
Kuhusu ''dala dala''. Magari yaliitwa daladala kwa sababu yalikuwa yanachaji sh. 5 ambayo ilikuwa ni ile sarafu ya pembe iliyokuwa inaitwa dala. Miaka hiyo senti 20 ilikuwa inaitwa ''mbuni'' sh 1 ikiitwa ''mwenge'' sh 5 ndiyo iliitwa ''dala''. Kuna magari yaliyokuwa yanajiibia kubeba abiria wakifika kituoni wanasema ''dala dala, dala dala''', yaani sh tano, sh tano sh tano

Uko sahihi kabisa
IMG_1359.jpg
 
Back
Top Bottom