Mwaka 1988 Chakachaka alipiga show Makondeko Kibamba kiingilio kilikuwa 100,000

Mwaka 1988 Chakachaka alipiga show Makondeko Kibamba kiingilio kilikuwa 100,000

Hata kanda bongoman Enzi za Mzee Mwinyi alikuja uwanja wa Taifa na kiingilio ilikuwa laki moja ...
Hapo alikuwa kashafukuzwa Kenya Kwa kuvunja ndoa za watu....alifukuzwa na Rais Moi...
Those were the golden days
Kikao cha Baraza la Mawaziri la Daniel Arap Moi kiliahirishwa kwa kukosa akidi kwa sababu mawaziri walikuwa kwy show ya yule Mzaire Hatare sana

laki moja ya 1994 ilikuwa nyingi sana lakini watu walimwagilia hadi firigisi
 
Ndio maana nakuambia ushafeli mno check out Sana stare unaparamia Sana na Wala hukwenda popote wee na mdukuzi mliadidhiwa tu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Nimekwambia nitajie wapi michael jackson alitumbuiza alipokuja hujajibu, badala yake unataka picha pesonal ,za watu wakitumia pesa zao , inakusaidia nini?
Unaona ulivyo mshamba!!! , halafu unajiita Dr !!!;
 
Sugar imezid
FsiUqGhXoAEbrUA.jpeg
 
Kikao cha Baraza la Mawaziri la Daniel Arap Moi kiliahirishwa kwa kukosa akidi kwa sababu mawaziri walikuwa kwy show ya yule Mzaire Hatare sana

laki moja ya 1994 ilikuwa nyingi sana lakini watu walimwagilia hadi firigisi

Uko sahihi, na ikapitishwa tamko la kuwafukuza wanamuziki wote wa Congo waliopo kenya, halafu ikaja wakaomba msamaha waliposamehewa waendelee kupiga rhumba Nairobi ndio chanzo cha wimbo alioimba M’bilia Belli ambao alisaidiwa utunzi na Tabuley unaitwa “Nakei Nairob” huu wimbo mashairi yake ni kumsifu mzee moi na kuisifu Kenya hapo ndio wakaanza kuishi kwa amani,
 
Thanks na salute mkuu, kipindi nchi Ina heshima na adabu, tulikua hatuchezewi ovyo Tanzania, Africa nzima ilikuwa inasubiria tamko kutoka Dar es Salaam ndio na wao watoe tamko lao
Umenifurahisha Sana Mkurugenzi... Hasa sentensi ya mwisho kuanzia hapo kwenye neno Africa...[emoji3][emoji3][emoji119][emoji119][emoji1666][emoji1666]
 
Mwezio anasema eti lakiilikuwa matumizi ya wilaya nzima ya kinondoni, miaka hiyo ya 88 , sasa we unamuona huyu mzima kweli?
Kwa kuwa baba ake mhandisi alishindwa kuwapa good times wanawe basi anadhani kila mtu ipo hivyo
Ni mshamba mixer roho mbaya na wivu very deadly combination, .
huyu ukimsimulia khabari za kina Idd janguo na kufuru zake anaweza kwenda kulala kwa mganga wa kienyeji.
pesa zangu mimi, nazitafuta kwa bidii yangu na nazifuja vile ninavyotaka halafu maumivu unapata wewe ambaye hunifahamu zaidi tu ya kuona ID yangu hapa JF.

wallah ukisikia mtoto wa kiume ana wivu wa kike ndio kama hivi unavyofanya wewe ndg.
 
Nimekwambia nitajie wapi michael jackson alitumbuiza alipokuja hujajibu, badala yake unataka picha pesonal ,za watu wakitumia pesa zao , inakusaidia nini?
Unaona ulivyo mshamba!!! , halafu unajiita Dr !!!;
Yawezekana anamfananisha Mj wa USA na yule wa Ruaha Galaxy enzi zile teh teh
 
Imepita miaka 35,
Nimekumbuka kitu kimoja
mwaka 1988 enzi hizo Ivon Chakachaka akiwa kwenye peak,kulikuwa na mmakonde mmoja akiitwa Dk Khalid Alex mbunge wa Mtama by then,sina uhakika na jimbo ila ni huko kusini
,alikuwa na ukumbi kule kibamba Luguruni maarufu kama Makondeko,

Ule ukumbi ukienda leo hakuna hata mabaki ya tofali hata moja ulikuwa ukumbi wa kisasa kwa miaka ile,kumbuka ulikuwa utawalawa Mzee Ruksa,

Chakachaka akiwika na nyimbo zake kama Sangoma,Umkhomboti,Thank you Mr Dj,am in love with DJ,alikuwa wa moto kwelikweli ila huyu tycoon wa enzi hizo bwana Alex akafanikiwa kumleta nchini,kiingilio kilikuwa shilingi laki moja,lakini ukumbi ulifurika aswaa japo uko nje ya mji,ni miaka 35 imepita ila laki moja !!!
Nilikuwa mnazi wa east african bear/beer.
 
Back
Top Bottom