Mwaka 1988 Chakachaka alipiga show Makondeko Kibamba kiingilio kilikuwa 100,000

Mwaka 1988 Chakachaka alipiga show Makondeko Kibamba kiingilio kilikuwa 100,000

Cha ajabu ukienda bagamoyo kuna magofu yana miaka mia na zaidi,ila hapo makondeko hakuna hata alana kuwa kuliwahi kuwana ukumbi mkali Dar nzima,hakuna mabaki hata ya tofali moja
Inafikirisha huwa napita Sana pale kabla sijafika kibamb shule eneo Ni almost Bado Ni porii tu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Humu mbona wanatutukana sana , ujue kuanzia kibaha hadi kariakoo ilikua njia ya vumbi na mnatembea karibu masaa matatu, mnatoka kibaha saa kumi au kumi na moja, kariakoo mnaingia saa mbili au tatu kasoro, na gari iliondoka saa nane mchana ni moja tu ikikuacha ndio basi tena, hapo kwenye carrier mnabeba mazao au bidhaa unaenda kuuza mjini, leyland basi unazifahamu? Au chai maharage?
Acha uongo babu hujakulia dar wee

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
mdukuzi Sikuwahi kujua kama Ukumbi wa Makondeko Club ulikuwa nje ya Jiji kiasi hicho.
Asante kwa kutujuza Mkuu, hakika umenikumbusha longtime kipindi, by the time nilikuwa F5 pale Tosa-Iringa.
Huu uzi umenifanya nitafakari pia umbali wa ulipokuwa ule ukumbi kwa sasa kwa mtu ambae alikuwa anaishi city center.

Ila ilikuwa tunakwenda kirahisi sana kulinganisha na sasa kunavyoonekana mbali ukitokea mjini.
 
Elimu gani Sasa huyu atanipa tuliepishana miakaa kidg sanaa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Swala sio kuwa na umri sawa , umezaliwa na kukulia wapi ni ishu nyingine , we unaonekana mjini umekuja ila much know, na mshamba flan,
Nimekuuliza hapo juu michael jakson unaesema alikuwa na kiingilo cha juu alitumbuiza wapi ? Huna jibu,
Hizi info hapa na mdukuzi tuna flow tu , ni kumbukumbu hakuna hata cha ku google .
Nimeshauriwa nikupuuze ila unazidisha ujinga, inabidi niwajibike tu leo ni sikukuu nna muda wa kupoteza.
 
Huu uzi umenifanya nitafakari pia umbali wa ulipokuwa ule ukumbi kwa sasa kwa mtu ambae alikuwa anaishi city center.

Ila ilikuwa tunakwenda kirahisi sana kulinganisha na sasa kunavyoonekana mbali ukitokea mjini.
Nimesoma ubungo national housing primary na miaka yote nilikuwa natoea hapo kwenda ubungo,
With private car ilikuwa mwendo wa dakika tisa kufika ubungo kwa basi ilikuwa easily 20 min .
Enzi hizo ni mapori tupu , hadi kufika Kimara na korogwe ndo kulikuwa kumechangamka , kituo kikubwa basi za buguruni zilikuwa zinageuza kilikuwa ubungo maji.
 
Huu uzi umenifanya nitafakari pia umbali wa ulipokuwa ule ukumbi kwa sasa kwa mtu ambae alikuwa anaishi city center.

Ila ilikuwa tunakwenda kirahisi sana kulinganisha na sasa kunavyoonekana mbali ukitokea mjini.
Hakukuwa na foleni mkuu,sio mbali sema vurugu za foleni ndio zinafanya paonekane mbali
 
Sasa wew uliingia kwenye show au ulizimuliwa na watu walio kwenda kucungulia kwenye mbao za bar ile kipindi hcho

I assure you hyo siyo Bei ya kiingilio by the time nyie mnlidanganywa mno na mabishoo wa wakt ule laki by then Ni miashara ya walimu takriban 20

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hebu nipe credit dogo!!
Kanda bongoman nimeingia kwenye shoo na nina picha nikwa stage tunacheza , alikuwa amevaa all white siku hiyo, japo niliingia bure kabisa kwa mitikasi na walinzi ila very late , you can imagine kwa umri huo nilikuwa nna uwezo wa kuwapanga grown ups na wakanielewa !!
Halafu punguza ushamba , kwenye starehe watu huwa hawalinganishi bei na commodity! Bei ya hennesy leo element ni sawa na bei ya bando la bati msouth hapo alaf , unaamua tu ujenge au ujipe raha.
 
Kbsa mkuuu hata hyo kilo 100 wengi hawafikii[emoji23][emoji23] Sasa wale wa zamani waliwezaje mnk mm mzee wanting alikuwa mhandisi ila pmj na stare zake hakwenda

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kwann umechukua mzee wako kama kipimo
Ndio maana nimekuambia hao maeng wa manispaa mpaka leo kukitokea show ya 500k bado ni dau kubwa kwao
 
Acha uongo babu hujakulia dar wee

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app

Basi nilikulia manerumango, au nilikulia bwejuu, au nilikulia lituhi , au nilikulia soni lushoto, au nilikulia nyambui musoma, au nilikulia utete ya ikwiriri, au nilikulia kaparamsenga ya kigoma au nilikulia malamba ya tanga, au nilikulia laela ya sumbawanga, au nilikulia malya ya kwimba, au nilikulia kitangari ya mtwara, au nilikulia mgudenj ya mlimba moro huko au nilikulia kifanya ya njombe au nilikulia igurusi au ihanda ya tunduma, au nilikua majimoto ya mpanda, au tufanye kisarawe kisha nikahamia chanika baadae nikahamia kiwalani ya airport au tufanye tandale uzuri, au tufanye nilikulia kiponzelo iringa huko au nilikulia ruangwa na ikuti huko tukuyu au nilikulia mondo huko kondoa, au nilikulia lugoba, au nilikulia majita huko musoma, au nilikulia njoro same huko au tufanye nilikulia ndungu milimani, au chagua wewe then mimi nitakubali
 
Laki moja mwaka 1988?

hao waliofurika wameacha urithi gani kwa wajukuu zao mpaka sasa?

maana laki 1 ya '88 kwa sasa ni kama milioni 1. Bei ya viwanja kumi jijini Dar kwa enzi hizo
Jaribu kuangalia ulichoandika halafu fikiria mara mbilimbili. Umesema laki moja ya kipindi hicho ni sawa na milioni kwa sasa na ungeweza kununua viwanja kumi. Nakupa hiyo milioni leo ukanunue hata hicho kiwanja kimoja.
 
Hakukuwa na foleni mkuu,sio mbali sema vurugu za foleni ndio zinafanya paonekane mbali

Masaa matano kuanzia saa sita usiku hadi saa kumi alfajiri inatosha kuzunguka maeneo yote ya jiji hadi unashangaa mbona karibu hivi dakika kumi unatoka mataa ubungo hadi mnazi mmoja, rahisi sana
 
Back
Top Bottom