Mwaka 1991 katika harusi ya Freeman Mbowe

Mwaka 1991 katika harusi ya Freeman Mbowe

Mchochezi

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
10,962
Reaction score
7,830
Katika pitapita zangu nimekutana na hii picha ya harusi ya Freeman Mbowe mwaka 1991.

Utaona ni kwa namna gani Mbowe alikuwa katika hadhi gani kwa miaka hiyo. Hii picha inafikirisha sana.

Freeman Mbowe nakupa maua yako ungali uhai ili uyanuse.


E4267FD3-AAFA-4E3F-8706-FB3D43882FE4.jpeg

 
Katika pitapita zangu nimekutana na hii picha ya harusi ya Freeman Mbowe mwaka 1991.

Utaona ni kwa namna gani Mbowe alikuwa katika hadhi gani kwa miaka hiyo. Hii picha inafikirisha sana.

Freeman Mbowe nakupa maua yako ungali uhai ili uyanuse.


Huyu ni Freeman? Mbona hafanani? Hebu cheki vizuri isije ukawa umekosea picha mkuu mtoa mada.
 
N

Nawaheshimu sana.WAAFRIKA tuna tatizo pahala.
Sasa usitumie neno kujambwa... hiyo ni ku insult wazazi wako... hakuna aliyechagua kuzaliwa alipo zaliwa.

Kusema waafrika tuna tatizo mahali still doesnt solve any problem. What is your solution?

Je, wewe unachukua hatua gani kujikomboa? Maana wewe unaisema Afrika, lakini i can guarantee, kuna watu wanaishi Afrika hii hii from zero.. na bado wanatoboa maisha...

Its a mindset war
 
Sasa usitumie neno kujambwa... hiyo ni ku insult wazazi wako... hakuna aliyechagua kuzaliwa alipo zaliwa.

Kusema waafrika tuna tatizo mahali still doesnt solve any problem. What is your solution?

Je, wewe unachukua hatua gani kujikomboa? Maana wewe unaisema Afrika, lakini i can guarantee, kuna watu wanaishi Afrika hii hii from zero.. na bado wanatoboa maisha...

Its a mindset war
Sifuti kauli.Kama dhambi niongezewe.
 
Back
Top Bottom