raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Alafu picha za zamani nzuri aisee hizi za sahv watu wanaonekana kama midoli 😄Kweli Hela tamu mkuu,tuisake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu picha za zamani nzuri aisee hizi za sahv watu wanaonekana kama midoli 😄Kweli Hela tamu mkuu,tuisake.
Afrika kuna kuzaliwa na kujambwa!!Tunatofautiana sana.
[emoji1][emoji1][emoji38]Afrika kuna kuzaliwa na kujambwa!!Tunatofautiana sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]dahAfrika kuna kuzaliwa na kujambwa!!Tunatofautiana sana.
Wahuni wamekula Black TuxKatika pitapita zangu nimekutana na hii picha ya harusi ya Freeman Mbowe mwaka 1991.
Utaona ni kwa namna gani Mbowe alikuwa katika hadhi gani kwa miaka hiyo. Hii picha inafikirisha sana.
Freeman Mbowe nakupa maua yako ungali uhai ili uyanuse.
Party la kimya kimya 🔥🔥🔥🔥Wahuni wamekula Black Tux
Utakuta mzigo ulikua imported tena kwa flight chapu tuuHapo ni mwaka 1991 keki tu ngazi 17,dah wenzetu wameanza kuishi kitambo.
Bado unamanung'uniko raia kutoomba lift Kwa difendaMtoto wa tajiri alimuoa mtoto wa tajiri
Mboe? Mboye? Mbowe? Bowe? au Boya?Katika pitapita zangu nimekutana na hii picha ya harusi ya Freeman Mbowe mwaka 1991.
Utaona ni kwa namna gani Mbowe alikuwa katika hadhi gani kwa miaka hiyo. Hii picha inafikirisha sana.
Freeman Mbowe nakupa maua yako ungali uhai ili uyanuse.
Tofauti ni u-wizi tu hakuna lingineAngalau unaweza ona tofauti ya Kilimanjaro na Tanganyika.
N.B.
Hayati Mkapa ndoa yake pia ilifungiwa Moshi
Acha kujifariji wewe....ety kuhustle ni Bora. Unadhani wanaozaliwa familia za mboga Saba hawa'hustle? Tatizo huwa mnachukulia kuhustle kwamba lazima mtu avuje mijasho na kamasi ndo aitwe hustler.Kujambwa... hapana aisee huo ni mtizamo wako... waheshimu walio kuzaa hata kama ni hohehahe.
By the way, mi naona fahari ku hustle from zero kuliko hii kuzaliwa kwenye silver spoon
Pole naona roho imekuuma sanaaa kunywa sumu ufe tuuTofauti ni u-wizi tu hakuna lingine
Kunywa Kibo Alex ndiyo keki ya Taifa?Pole naona roho imekuuma sanaaa kunywa sumu ufe tuu
Acha sisi tule keki ya taifa kwanza
Hujui chochote weweKunywa Kibo Alex ndiyo keki ya Taifa?
Inakuuma eeh! Na bado 👎Tofauti ni u-wizi tu hakuna lingine
Huyo mbona STEVE MWEUSI..Katika pitapita zangu nimekutana na hii picha ya harusi ya Freeman Mbowe mwaka 1991.
Utaona ni kwa namna gani Mbowe alikuwa katika hadhi gani kwa miaka hiyo. Hii picha inafikirisha sana.
Freeman Mbowe nakupa maua yako ungali uhai ili uyanuse.
Kuna kipimo unatakiwa ufanyiwe......Mboe? Mboye? Mbowe? Bowe? au Boya?