Mwaka 2004 ndani ya SCANIA mayai

Mwaka 2004 ndani ya SCANIA mayai

nzalendo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,106
Reaction score
12,916
SCANIA 124 G hizi zilikuja chache sana.
MOja nilikuwa nayo mimi tank..
Nyingine alikuwa nayo MArehemu Steven Mchupa nayo Tank,
Tunasafiri kupeleka mafuta Geita......Lami Dar mpaka Dodoma kibao cha PEPSI..
Baada ya hapo unaanza kupiga shimo,,,ndani uko peke yako....ndio watu wachache tulioanza kusafiri peke yetu ndani ya lori...raia wakawa wanasema tunasafiri ki south....
Wengine ni Abdala KItambi huyu naye alikuwa askari full kamanda naye alikuwa anasafiri na lori kumbe shushushu...
Enzi hizo maisha barabarani yalikuwa raha sana...pia namkumbuka Omar Kurunzi huyu alikuwa super star....
Wote hawa ni watu wa SCANIA.......madereva wengine wakongwe ni Mzee Nyakunga...Edward Mpalestina....Wilson Mhema....etc etc

View: https://youtu.be/ccY936nt-ns?si=P8FH1Xz0_2H-bMC8
 
SCANIA 124 G hizi zilikuja chache sana.
MOja nilikuwa nayo mimi tank..
Nyingine alikuwa nayo MArehemu Steven Mchupa nayo Tank,
Tunasafiri kupeleka mafuta Geita......Lami Dar mpaka Dodoma kibao cha PEPSI..
Baada ya hapo unaanza kupiga shimo,,,ndani uko peke yako....ndio watu wachache tulioanza kusafiri peke yetu ndani ya lori...raia wakawa wanasema tunasafiri ki south....
Wengine ni Abdala KItambi huyu naye alikuwa askari full kamanda naye alikuwa anasafiri na lori kumbe shushushu...
Enzi hizo maisha barabarani yalikuwa raha sana...pia namkumbuka Omar Kurunzi huyu alikuwa super star....
Wote hawa ni watu wa SCANIA.......madereva wengine wakongwe ni Mzee Nyakunga...Edward Mpalestina....Wilson Mhema....etc etc

View: https://youtu.be/ccY936nt-ns?si=P8FH1Xz0_2H-bMC8

Umenikumbusha mbali sana Abdalh Kitambi, Edward Mpalestina, marehemu Steven Mchupa, Duh! list ilikuwa ya maana sana hii, kwakweli tumshukuru Mungu kwa uhai na afya.
 
Umenikumbusha mbali sana Abdalh Kitambi, Edward Mpalestina, marehemu Steven Mchupa, Duh! list ilikuwa ya maana sana hii, kwakweli tumshukuru Mungu kwa uhai na afya.
Amen amen ndugu yangu...kweli tunamshukuru Mungu sana
 
Back
Top Bottom