nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,106
- 12,916
SCANIA 124 G hizi zilikuja chache sana.
MOja nilikuwa nayo mimi tank..
Nyingine alikuwa nayo MArehemu Steven Mchupa nayo Tank,
Tunasafiri kupeleka mafuta Geita......Lami Dar mpaka Dodoma kibao cha PEPSI..
Baada ya hapo unaanza kupiga shimo,,,ndani uko peke yako....ndio watu wachache tulioanza kusafiri peke yetu ndani ya lori...raia wakawa wanasema tunasafiri ki south....
Wengine ni Abdala KItambi huyu naye alikuwa askari full kamanda naye alikuwa anasafiri na lori kumbe shushushu...
Enzi hizo maisha barabarani yalikuwa raha sana...pia namkumbuka Omar Kurunzi huyu alikuwa super star....
Wote hawa ni watu wa SCANIA.......madereva wengine wakongwe ni Mzee Nyakunga...Edward Mpalestina....Wilson Mhema....etc etc
View: https://youtu.be/ccY936nt-ns?si=P8FH1Xz0_2H-bMC8
MOja nilikuwa nayo mimi tank..
Nyingine alikuwa nayo MArehemu Steven Mchupa nayo Tank,
Tunasafiri kupeleka mafuta Geita......Lami Dar mpaka Dodoma kibao cha PEPSI..
Baada ya hapo unaanza kupiga shimo,,,ndani uko peke yako....ndio watu wachache tulioanza kusafiri peke yetu ndani ya lori...raia wakawa wanasema tunasafiri ki south....
Wengine ni Abdala KItambi huyu naye alikuwa askari full kamanda naye alikuwa anasafiri na lori kumbe shushushu...
Enzi hizo maisha barabarani yalikuwa raha sana...pia namkumbuka Omar Kurunzi huyu alikuwa super star....
Wote hawa ni watu wa SCANIA.......madereva wengine wakongwe ni Mzee Nyakunga...Edward Mpalestina....Wilson Mhema....etc etc
View: https://youtu.be/ccY936nt-ns?si=P8FH1Xz0_2H-bMC8