Mwaka 2004 ndani ya SCANIA mayai

Mwaka 2004 ndani ya SCANIA mayai

Kazi tamu sana lakin familia hukai nayo na mke wahuni wanakuchapia
Hili la wahuni kukuchapia labda uwe ni wa Transit, lakini local unawahi kurudi maana miundo mbinu ishakuwa Safi. Sema enzi hizo za kuja kupita Sekenke mpaka utulize kwanza Shelui au Misigiri siku mbili unaomba sala zote. Na kuchapiwa labda shemeji kama si mvumilivu hata kama upo watachapa tu wahuni.👣👣
 
Hili la wahuni kukuchapia labda uwe ni wa Transit, lakini local unawahi kurudi maana miundo mbinu ishakuwa Safi. Sema enzi hizo za kuja kupita Sekenke mpaka utulize kwanza Shelui au Misigiri siku mbili unaomba sala zote. Na kuchapiwa labda shemeji kama si mvumilivu hata kama upo watachapa tu wahuni.👣👣
Siku mbili unatafakari namna ya kutoboa!

Ila kazi za kusafirisha mizigo mikubwa ni ngumu mno,ukifika salama shukuru mungu sana
 
Ile njia kwakweli halafu umefunga dengla ya ft 20 sio kama hizi za sasa kama pick up duh! unafika sekenke unaomba mtu mwenye Puling akupandishie juu duh!
Ndugu yangu SEKENKE ilikuwa si mchezo....mara unasikia njia imefunga.....mara kuna gari imemeza moto(msemo huu kwa sasa unapotea)....Nakumbuka kuna mwaka njia ilifunga kwa siku kadhaa,,,,,,
 
Sema madereva semi kwa kutembeza bakora bin mkwaju hamjambo
IKO HIVII
Kila mtu anatabia yake na malezi na mazingira aliyokulia....
Walevi wapo na wasio walevi wapo
wazinzi wapo na wasio wazinzi wapo
Wenye kuswali wapo na wasio swali wapo
Walokole wapo na wasio walokole wapo
Madereva tupo wa hulka na kaliba tofauti
Pia wasomi wapo na wasio wasomi wapo
Hata wahuni wapo na wasio wahuni wapo
Mpaka majambazi wapo na wasio vibaka pia wapo
 
Kazi tamu sana lakin familia hukai nayo na mke wahuni wanakuchapia
Ujionavyo nafsini mwako ndivyo ulivyo...
Kama unawaza kuchapiwa, ndio mwisho wako wa kufikiri... na kili yako inawaza hayo tu.
 
Ndugu yangu SEKENKE ilikuwa si mchezo....mara unasikia njia imefunga.....mara kuna gari imemeza moto(msemo huu kwa sasa unapotea)....Nakumbuka kuna mwaka njia ilifunga kwa siku kadhaa,,,,,,
Kwakweli na madereva nakumbuka ile kipindi tulitokea kumchikia sana waziri wa ujenzi wakati ule ulipo kuja kuanza ule mchakato wa kuitengeneza ile mpya halafu wakandarasi wakawa wanachelewa tu wanafanya mambo yao tu huku tukipambana kama yatima.
 
Back
Top Bottom