Mwaka 2012 niliichallange Serikali ya CCM na Hayati John Pombe Magufuli kuhusu mikopo!

Hii siyo thread yenye quality. Ni mkusanyiko wa maneno yaliyowekwa pamoja bila mpangilio.

Huwezi ukakopa halafu uweke na masharti kwa mkopaji. NONSENSE
 
Hii siyo thread yenye quality. Ni mkusanyiko wa maneno yaliyowekwa pamoja bila mpangilio.

Huwezi ukakopa halafu uweke na masharti kwa mkopaji. NONSENSE
umeisoma na kuielewa mada?mbona comment yako ipo dissconected?
 
Nilisoma Ulaya majengo ya Idara yote na vifaa vya ile idara tena vya kisayansi kweli kweli viliandikwa vimefadhiliwa na UNESCO why Watanzania tunapenda kudanganyana na kuogopeshana kuhusu mikopo na misaada?
 
Nilisoma Ulaya majengo ya Idara yote na vifaa vya ile idara tena vya kisayansi kweli kweli viliandikwa vimefadhiliwa na UNESCO why Watanzania tunapenda kudanganyana na kuogopeshana kuhusu mikopo na misaada?
Ulaya ipi?tupe picha by the way UNESCO sio IMF!lete picha na ushahidi wa Madarasa ya Ulaya yaliyoandikwa covid 19
 
Ningejisikia fahari kama madarasa yangeandikwa: darasa hili limejengwa kwa tozo za miamala ya simu.
 
Ulaya ipi?tupe picha by the way UNESCO sio IMF!lete picha na ushahidi wa Madarasa ya Ulaya yaliyoandikwa covid 19
Ulaya Magharibi na nimesema Unesco siyo IMF na tuliosoma Ulaya wote tunajua kuwa ni ujinga kukamua watu wako kwa kodi kwa ajili ya miundombinu maana finally hiyo miundombinu inakuwa mali ya dunia mzima. Imagine ukijenga barabara ikafika burundi siku UN wakiwa na mission Burundi wataitumia tu hiyo reli yako au barabara kwa manufaa yao na Warundi na huwezi kuwazuia. Then why unaijenga kwa kuumiza watu wako?
 
Ulaya Magharibi nchi gani specific?
Kuna mtanzania atatumia hiyo barabara ya ulaya?
 
mbaya zaidi mtu anakopa bado tena anaendelea kuwapiga kwenye tozo ; fedha anazokopa anasema anajenga madarasa sijui na kuendeleza miradi gani isiyoonekana wakati huo huo anakwambia nakukata tozo tujenge shule kitu hicho hicho kimoja

matokeo yake hakuna miradi inayoendelea zaidi ya porojo tu huku deni likingezeka na bado unakamuliwa tozo na bado anakwambia hapendi pesa za dhuluma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…