Ulimpigia Nani!??
Chadema hujawajua vizuri.
Atatokea mtu atawadanganya..
Wewe utafanyaje kuhakikisha halijirudii!??
Au ndio nyie mnawasimamisha[emoji12][emoji14][emoji85].?
Hembu niambie ukweli brother ..Sikupiga kura ya Urais. Narudia tena lile kosa lilikuwa ni FUNZO kubwa sana. Maccm yanayotaka kuhamia Chadema yahamie tu lakini si kwa matarajio ya kugombea ubunge au Urais kwa tiketi ya Chadema ITAKULA KWAO.
Khaaaa 2045..wakat huo naww uko wapi???Maana nyie wasukuma hamchelewi kuzibua mtu[emoji3].
Ila wewe subiri 2045 utapata.
Hembu niambie ukweli brother ..
Na wewe upo pale kwenye kuteua wa kusimama[emoji85]?
Umeona eeeh???
Yaani sijui wamsimamishe Nani atakaye mchallenge
Kwa hiyo brother ulikubali kupoteza haki yako ya msingi kwa kutopiga kura?Hebu funguka zaidi maana sijaelewa kitu.
Kwa Sasa age haikuruhusu.Khaaaa 2045..wakat huo naww uko wapi???
Kama utakua namie nitasubiri
Kwa hiyo brother ulikubali kupoteza haki yako ya msingi kwa kutopiga kura?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wivu wako tu, hutak niwe raisKwa Sasa age haikuruhusu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo ya kutopiga kura kwa kutoona mgombea wa maana pia ni kutimiza haki yangu ya msingi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama kawaida. View attachment 1199944
Utaenda wewe na mashetani wenzako
Kanyaga twende... tuko pamoja sana. Tutampigia kampeni na tutampeleka tena Ikulu. Sioni mwingine...
Kanyaga twende... tuko pamoja sana. Tutampigia kampeni na tutampeleka tena Ikulu. Sioni mwingine...
Hakuna mwingine zaidi JPM. Yule aliyerudi nyumbani alituaibisha wazee wenzie.
Hayo ni mawazo yako, Kigogo kwa taarifa yako anajulikana na serikali, na wala haina mpango wa kumfuatilia mtu mwenye njaa kama yeye ambaye anatafuta ugali tu wa kula kwa udi na uvumba.
Serikali hii imejikita zaidi katika kuleta maendeleo kwa Watanzania wote bila kujali itikadi zao. CCM awamu ya 5 imejikita zaidi kuwasaidia Watanzania hasa wale wanyonge ambao hawana uwezo wa kuandika kwenye mitandao, Watoto wadogo na kinamama kutatua matatizo yao na kuwaletea maendeleo. Ikifika 2020 Serikali hii itakuwa inawaonyesha Watanzania maendeleo yaliyofanyika tangu iingie madarakani. Unaruhusiwa kubeza vyovyote vile unavyopenda lakini ukweli utabaki kuwa ukweli whether you like it or not.
mm nitakuwa na wewe pale tu atakapotupa malimbikizo ya annual increment zetu na kutupandisha madaraja,hatukatai miradi mikubwa anayofanya hongera kwa hilo,ila kama matumizi yanakuwa makubwa hadi mambo mengine tuyakose sasa hapo sipo nae kwa kweli,yani kwa kuwa baba unanunua smartphone ndo familia isile???HELL NOOOO [emoji53] 😡