BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Tangu lini mie nimejibu maswali ya kipuuzi humu!? 😳😳😳😳
Eti niachane na namba ninazosema! Usikimbie namba hizo si uzushi ni kweli tupu! Umesikia kuhusu 1.5 trillion aliyokwapua huyo kubwa la majizi wa chato? Hiyo ni report ya CAG. Umesikia gharama za matibabu za kikaragosi cha dhalimu ndugai $12 millions au sawa na 28 billions Tanzania shillings?
Tia akili kichwani achana na kuandika upuuzi humu.
Eti niachane na namba ninazosema! Usikimbie namba hizo si uzushi ni kweli tupu! Umesikia kuhusu 1.5 trillion aliyokwapua huyo kubwa la majizi wa chato? Hiyo ni report ya CAG. Umesikia gharama za matibabu za kikaragosi cha dhalimu ndugai $12 millions au sawa na 28 billions Tanzania shillings?
Tia akili kichwani achana na kuandika upuuzi humu.
Jibu maswali niliyokuuliza kwanza achana na hizo namba unazosemea? Usikwepe.