Uchaguzi 2020 Mwaka 2020 Naenda na Rais Magufuli nani yuko pamoja nami

Uchaguzi 2020 Mwaka 2020 Naenda na Rais Magufuli nani yuko pamoja nami

kura ni siri ya mtu,,hata mtu akitamka hapa haina maana ni kweli,kwenye kile kishubaka uko peke yako na moyo wako,suala la kujiuliza kama maslahi yako yameelemea wapi,maana sisi wabongo tunaangaliaga Tumbo kwanza mengine baadae
 
Namba haziongopi na siku zote namba husema ukweli kama unajua namna ya kuzisoma na kuzitafakari kwa kina.

Hivi viwanda 4,000 tangu huyo dhalimu aingie madarakani anavyodai amevijenga amejenga mikoa ipi!? Hebu tuwekee mchakato wa kila mkoa nchini uliobahatika kujengewa kiwanda/viwanda

Ujinga ni MZIGO MKUBWA SANA.
Jibu maswali niliyokuuliza kwanza achana na hizo namba unazosemea? Usikwepe.
 
Kila mwenye kuisoma hii amekuelewa pamoja nae
Licha ya mapungufu yake machache na hii ni iko kwa wanadamu wote waliotoka kwenye Tumbo la mwanamke,

Hakuna aliye kamilifu kwa asilimia 100,Mapungufu yake machache hayawezi kufanya nisione Mema anayofanya,

Mwaka 2020 Naenda na JPM, Jiwe shupavu, Chuma asiyeweza kuyumbishwa,Kwa mafanikio ya Nchi yangu, na kwa Future ya kizazi changu Nitaenda na JPM 2020,

Go JPM mimi kama mtanzania na mwananchi unayeniongoza niko Pamoja nawe.

Nani yuko pamoja nami anasema ataenda na JPM 2020? .
 
Upo pekee yako tu
Licha ya mapungufu yake machache na hii ni iko kwa wanadamu wote waliotoka kwenye Tumbo la mwanamke,

Hakuna aliye kamilifu kwa asilimia 100,Mapungufu yake machache hayawezi kufanya nisione Mema anayofanya,

Mwaka 2020 Naenda na JPM, Jiwe shupavu, Chuma asiyeweza kuyumbishwa,Kwa mafanikio ya Nchi yangu, na kwa Future ya kizazi changu Nitaenda na JPM 2020,

Go JPM mimi kama mtanzania na mwananchi unayeniongoza niko Pamoja nawe.

Nani yuko pamoja nami anasema ataenda na JPM 2020? .
 
Kwanza karibu sana jf
Licha ya mapungufu yake machache na hii ni iko kwa wanadamu wote waliotoka kwenye Tumbo la mwanamke,

Hakuna aliye kamilifu kwa asilimia 100,Mapungufu yake machache hayawezi kufanya nisione Mema anayofanya,

Mwaka 2020 Naenda na JPM, Jiwe shupavu, Chuma asiyeweza kuyumbishwa,Kwa mafanikio ya Nchi yangu, na kwa Future ya kizazi changu Nitaenda na JPM 2020,

Go JPM mimi kama mtanzania na mwananchi unayeniongoza niko Pamoja nawe.

Nani yuko pamoja nami anasema ataenda na JPM 2020? .
 
Kama kawaida.
FB_IMG_1567743688654.jpeg
 
Hakuna kitu kizuri kama ukweli halisi bila kujalisha ni mchungu kiasi gani.
P
Mayalla hii ingekuwa sawa endapo mazingira ya kuchaguana yangelikuwa sawa. Sasa mazingira ya uchaguzi kama wa kinondoni, Handeni, Iramba mashariki etc. Huko tuliona returning officers wakiwakimbia wagombea wa upinzani wasiwasilishe makaratasi. Na hata walipowasilisha eti wote 10 hawajui kuandika ?!.

Tulisikia DED wakiagizwa nakupa gari, mshahara, ulinzi, posho halafu nionee mtu anamtangaza mpinzani !! Sasa huo ni uchaguzi gani ?!. Yeye ameshajiandalia kubaki hapo . Tumeshuhudia rafiki yake PK akipata 100% acha hiyo 99.9%
 
Licha ya mapungufu yake machache na hii ni iko kwa wanadamu wote waliotoka kwenye Tumbo la mwanamke,

Hakuna aliye kamilifu kwa asilimia 100,Mapungufu yake machache hayawezi kufanya nisione Mema anayofanya,

Mwaka 2020 Naenda na JPM, Jiwe shupavu, Chuma asiyeweza kuyumbishwa,Kwa mafanikio ya Nchi yangu, na kwa Future ya kizazi changu Nitaenda na JPM 2020,

Go JPM mimi kama mtanzania na mwananchi unayeniongoza niko Pamoja nawe.

Nani yuko pamoja nami anasema ataenda na JPM 2020? .
Kanyaga twende... tuko pamoja sana. Tutampigia kampeni na tutampeleka tena Ikulu. Sioni mwingine...
 
Licha ya mapungufu yake machache na hii ni iko kwa wanadamu wote waliotoka kwenye Tumbo la mwanamke,

Hakuna aliye kamilifu kwa asilimia 100,Mapungufu yake machache hayawezi kufanya nisione Mema anayofanya,

Mwaka 2020 Naenda na JPM, Jiwe shupavu, Chuma asiyeweza kuyumbishwa,Kwa mafanikio ya Nchi yangu, na kwa Future ya kizazi changu Nitaenda na JPM 2020,

Go JPM mimi kama mtanzania na mwananchi unayeniongoza niko Pamoja nawe.

Nani yuko pamoja nami anasema ataenda na JPM 2020? .
Kanyaga twende... tuko pamoja sana. Tutampigia kampeni na tutampeleka tena Ikulu. Sioni mwingine...
 
Licha ya mapungufu yake machache na hii ni iko kwa wanadamu wote waliotoka kwenye Tumbo la mwanamke,

Hakuna aliye kamilifu kwa asilimia 100,Mapungufu yake machache hayawezi kufanya nisione Mema anayofanya,

Mwaka 2020 Naenda na JPM, Jiwe shupavu, Chuma asiyeweza kuyumbishwa,Kwa mafanikio ya Nchi yangu, na kwa Future ya kizazi changu Nitaenda na JPM 2020,

Go JPM mimi kama mtanzania na mwananchi unayeniongoza niko Pamoja nawe.

Nani yuko pamoja nami anasema ataenda na JPM 2020? .
UTAKUWA NA SHETANI KAMA KAWAIDA,NA MUENDE KUZIMU KABISA.
 
Hakuna kitu kizuri kama ukweli halisi bila kujalisha ni mchungu kiasi gani.
P

Ukweli kutokana na ubongo wako binafsi!

Unapochukua ukweli wako binafsi kutokana na akili yako binafsi ilivyochambua na kujifanya eti ni universal truth to everyone

Inaonesha ulivyo clueless na ndio maana Ilboru ulipita pita kienyeji na tokeo lako lilikua duni!

There is a reason ulifeli ndio maana ukasoma elimu ya uzeeni!

Huo ndio ukweli maana nina tokeo lako duni to back it up!
 
Back
Top Bottom