Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapanaaa hadi kule wanaliaWa kwenu yule.[emoji23][emoji23][emoji23]
Hutaki kwenda nae?
unaenda nae wap?Licha ya mapungufu yake machache na hii ni iko kwa wanadamu wote waliotoka kwenye Tumbo la mwanamke,
Hakuna aliye kamilifu kwa asilimia 100,Mapungufu yake machache hayawezi kufanya nisione Mema anayofanya,
Mwaka 2020 Naenda na JPM, Jiwe shupavu, Chuma asiyeweza kuyumbishwa,Kwa mafanikio ya Nchi yangu, na kwa Future ya kizazi changu Nitaenda na JPM 2020,
Go JPM mimi kama mtanzania na mwananchi unayeniongoza niko Pamoja nawe.
Nani yuko pamoja nami anasema ataenda na JPM 2020? .
Eti chato[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..UNAENDA NAYE CHATOO?[emoji23][emoji23][emoji23].
SAFI SANA HE IS ONE TERM PRESDENT.[emoji23][emoji2][emoji2][emoji16].
hutaki unaacha [emoji38][emoji38]
Utampigia wa chama gani?Sitaweza, sitathubutu, sitajaribu hata siku moja kumpigia kura mgombea yeyote kupitia CCM katika maisha yangu yote yaliyosalia hapa Duniani.
SAUTI IMETOSHA!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapanaaa hadi kule wanalia
Sitaweza, sitathubutu, sitajaribu hata siku moja kumpigia kura mgombea yeyote kupitia CCM katika maisha yangu yote yaliyosalia hapa Duniani.
SAUTI IMETOSHA!
WATU WANAENDA KUMWAGA MBOGA 2020 HIVYO ! ENDELEA KUWAZA HIVYO😃😃😆😆😁😁😂😂Eti chato[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..
Sijawahi ona Rais anakaa miaka 5 tu..hapa hapa kwetu tz.
Huyu Ni Hadi 2025
Wewe kinakuuma nini mimi kutompa yeyote kura wa CCM?Kunywa tu simu ufe leo
Hakuna kitu kizuri kama ukweli halisi bila kujalisha ni mchungu kiasi gani.Lip service provider!
Unaenda na MumeoLicha ya mapungufu yake machache na hii ni iko kwa wanadamu wote waliotoka kwenye Tumbo la mwanamke,
Hakuna aliye kamilifu kwa asilimia 100,Mapungufu yake machache hayawezi kufanya nisione Mema anayofanya,
Mwaka 2020 Naenda na JPM, Jiwe shupavu, Chuma asiyeweza kuyumbishwa,Kwa mafanikio ya Nchi yangu, na kwa Future ya kizazi changu Nitaenda na JPM 2020,
Go JPM mimi kama mtanzania na mwananchi unayeniongoza niko Pamoja nawe.
Nani yuko pamoja nami anasema ataenda na JPM 2020? .
JPM ndio mwenye roho mbaya kuliko wote waliopita katika wadhifa huo.Kama hauko na JPM basi upo upande wa Ibilisi, team roho mbaya
Yeyote nitakapoamua mimi, shurti asiwe kutoka CCMUtampigia wa chama gani?