Uchaguzi 2020 Mwaka 2020 Naenda na Rais Magufuli nani yuko pamoja nami

Uchaguzi 2020 Mwaka 2020 Naenda na Rais Magufuli nani yuko pamoja nami

Licha ya mapungufu yake machache na hii ni iko kwa wanadamu wote waliotoka kwenye Tumbo la mwanamke,

Hakuna aliye kamilifu kwa asilimia 100,Mapungufu yake machache hayawezi kufanya nisione Mema anayofanya,

Mwaka 2020 Naenda na JPM, Jiwe shupavu, Chuma asiyeweza kuyumbishwa,Kwa mafanikio ya Nchi yangu, na kwa Future ya kizazi changu Nitaenda na JPM 2020,

Go JPM mimi kama mtanzania na mwananchi unayeniongoza niko Pamoja nawe.

Nani yuko pamoja nami anasema ataenda na JPM 2020? .
Uchaguzi ujao wa 2020, Magufuli ni ushindi wa 99.9%.


P
 
Licha ya mapungufu yake machache na hii ni iko kwa wanadamu wote waliotoka kwenye Tumbo la mwanamke,

Hakuna aliye kamilifu kwa asilimia 100,Mapungufu yake machache hayawezi kufanya nisione Mema anayofanya,

Mwaka 2020 Naenda na JPM, Jiwe shupavu, Chuma asiyeweza kuyumbishwa,Kwa mafanikio ya Nchi yangu, na kwa Future ya kizazi changu Nitaenda na JPM 2020,

Go JPM mimi kama mtanzania na mwananchi unayeniongoza niko Pamoja nawe.

Nani yuko pamoja nami anasema ataenda na JPM 2020? .

Uko mwenyewe na some few Jiwe’s mistresses in here!

Gross!
 
Uchaguzi ujao wa 2020, Magufuli ni ushindi wa 99.9%.


P
Hakika Magufuri is my number 1
 
Kwa naiaba ya wakulima wa korosho, wafanyakazi , wafanya biashara, waandishi wa habari, ndugu najamaa waloopotelewa na ndugu zao, haingii akilin Matajiri walie hali ngumu... Na masikin bado pia walie hali ngumu.


Eti ujanja anaotumia, nikuwaaminisha maskini kua siku hizi kuna Haki.,,ukienda hosp kuna heshima, no rushwa.... Nani kasema Mtu anakula Haki???? Toka lini mkulima akala Heshima???

SIENDI NA JPM !!.
Hadi wewe?
 
Uchaguzi ujao wa 2020, Magufuli ni ushindi wa 99.9%.


P

Lip service provider!
 
Licha ya mapungufu yake machache na hii ni iko kwa wanadamu wote waliotoka kwenye Tumbo la mwanamke,

Hakuna aliye kamilifu kwa asilimia 100,Mapungufu yake machache hayawezi kufanya nisione Mema anayofanya,

Mwaka 2020 Naenda na JPM, Jiwe shupavu, Chuma asiyeweza kuyumbishwa,Kwa mafanikio ya Nchi yangu, na kwa Future ya kizazi changu Nitaenda na JPM 2020,

Go JPM mimi kama mtanzania na mwananchi unayeniongoza niko Pamoja nawe.

Nani yuko pamoja nami anasema ataenda na JPM 2020? .
UNAENDA NAYE CHATOO?😂😂😂.


SAFI SANA HE IS ONE TERM PRESDENT.😂😃😃😁.

hutaki unaacha 😆😆
 
Back
Top Bottom