OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kacheck afya yako peke yako halafu urudie mzigo mkapime wote.Fikiria pisi executive inataka kukupa kimasihara
Fikiria imekupa nafasi ya kuipa romance
Fikiria inakwambia ipo tayari kuliwa
Lakini kwa sharti la kupima kwanza ngoma
Kwa kweli ilibidi nijipe dharura kwa sababu ilikuwa ghafla sana. Mpaka mwaka unaisha ile pisi executive ilinipa tahadhari bila kupima nisigusie kabisa suala la sex.
Uzi huu sio muhimu unawapa taarifa tu.
Kwani kondomu ziliishaFikiria pisi executive inataka kukupa kimasihara
Fikiria imekupa nafasi ya kuipa romance
Fikiria inakwambia ipo tayari kuliwa
Lakini kwa sharti la kupima kwanza ngoma
Kwa kweli ilibidi nijipe dharura kwa sababu ilikuwa ghafla sana. Mpaka mwaka unaisha ile pisi executive ilinipa tahadhari bila kupima nisigusie kabisa suala la sex.
Uzi huu sio muhimu unawapa taarifa tu.
Ulichoongea ni kweli kupata ukimwi sio rahisi unless uwe unaenda kavu Mara nyingi na unakamia shoo kavu, Ila ukiwa mtumiaj wa kondomu kuupata inakua ngumu, na haushi maisha ya stressAsilimia kubwa ya wanaohofia hawana.
Walio nao hata kujihisi hawajihisi..
Kama data ziko sawa ni asilimia 4 ya watanzania ndo wanaambukizwa
Rahisi Ku bet na kupata pesa kuliko kuambukizwa but then again.. wasiwasi ndo akili
Kuna sehemu tu utashindwa kujizuia zitakuzidi nguvu,Omba Mungu nyege zisikutawale....
Iwe KE au ME...
Omba sana Mungu.
Kuna sehemu tu utashindwa kujizuia zitakuzidi nguvu,
DuhKwani shilingi ngapi...!??
Unaachia tuu [emoji28]
Uwe tuu jasiri wa kupokea matokeo ya kujiachia.
kasie, nakutamani sana nikuchomeke mpini huu mwakaKwani shilingi ngapi...!??
Unaachia tuu 😅
Uwe tuu jasiri wa kupokea matokeo ya kujiachia.
Shit happenKwani shilingi ngapi...!??
Unaachia tuu 😅
Uwe tuu jasiri wa kupokea matokeo ya kujiachia.