Mwaka 2020 niliikosa pisi executive kutokana na kigezo cha kupima HIV

Mwaka 2020 niliikosa pisi executive kutokana na kigezo cha kupima HIV

Fikiria pisi executive inataka kukupa kimasihara

Fikiria imekupa nafasi ya kuipa romance

Fikiria inakwambia ipo tayari kuliwa

Lakini kwa sharti la kupima kwanza ngoma

Kwa kweli ilibidi nijipe dharura kwa sababu ilikuwa ghafla sana. Mpaka mwaka unaisha ile pisi executive ilinipa tahadhari bila kupima nisigusie kabisa suala la sex.

Uzi huu sio muhimu unawapa taarifa tu.

Hahahaaa kumbe hata wewe mwoga!? Tena OKW BOBAN SUNZU 🤣🤣🤣🤣 unaogopa vitu vidogooooo kabisa
Halafu hata huna sasa
 
Hii Pima Pima majuzi imeniharibia ratiba za kula tunda.
Nimekuwa mtumiaji mzuri wa ndomu hapo nyuma ila sasa nmeanza kuzichoka,nataka kula nyama nyama.

Kuna demu nkampanga kumla ila tupime kwanza akakubali,sasa ikabid niwah kupma kwanza,nilipima usiku kama saa mbili nikawa na pilika pilika,mpaka nkasahau kuangalia majibu,kesho yake nkaamua ndo nikiangalie,kuchek nakuta kipimo kimetokewa na mistari miwili,nkashangaa ila sjashtuka sana,nataka nkapime tena maabara
 
Hii Pima Pima majuzi imeniharibia ratiba za kula tunda.
Nimekuwa mtumiaji mzuri wa ndomu hapo nyuma ila sasa nmeanza kuzichoka,nataka kula nyama nyama.

Kuna demu nkampanga kumla ila tupime kwanza akakubali,sasa ikabid niwah kupma kwanza,nilipima usiku kama saa mbili nikawa na pilika pilika,mpaka nkasahau kuangalia majibu,kesho yake nkaamua ndo nikiangalie,kuchek nakuta kipimo kimetokewa na mistari miwili,nkashangaa ila sjashtuka sana,nataka nkapime tena maabara
Icho kipimo ni feki mkuu
 
Ila nyie watu aisee,NYEGE mbaya sn yn...mm mara kibao naweza pewa gemu na manzi ile nikishaiona tu K hii hapa kanitengea nijipakulie,ht km nimekuja na boksi la condom najikuta tu nishazamia hila ht kuvaa hii kitu...Mungu aninusuru
 
2017 ndo mara ya mwisho..

Ulikuwa umejiandaje kukubali matokeo Positive?..maana majibu sio ishu..ishu ni maisha after positive result
Ofcourse hadi naenda kupima i was like liwalo na liwe ikitokea +ve ntatumia dawa na maisha yatasonga vizuri tu!ila pia nilikua nawaza kwahiyo ikiwa +ve manake ndiyo kumeza dawa daily mmh😒. Nikaamua tu niende huku naomba Mungu anipe nguvu. Kuna Dada tuligombana akaning'ata na nilikua simuamini sana kutokana na stories zake dah😒, niliishi kwa mawazo kiasi, but Mungu ni mwema.
 
Hii Pima Pima majuzi imeniharibia ratiba za kula tunda.
Nimekuwa mtumiaji mzuri wa ndomu hapo nyuma ila sasa nmeanza kuzichoka,nataka kula nyama nyama.

Kuna demu nkampanga kumla ila tupime kwanza akakubali,sasa ikabid niwah kupma kwanza,nilipima usiku kama saa mbili nikawa na pilika pilika,mpaka nkasahau kuangalia majibu,kesho yake nkaamua ndo nikiangalie,kuchek nakuta kipimo kimetokewa na mistari miwili,nkashangaa ila sjashtuka sana,nataka nkapime tena maabara
time ya kucheki majibu ni dk 10 mpaka 20 ukizidisha hapo unaweza pata wrong result
 
Fikiria pisi executive inataka kukupa kimasihara

Fikiria imekupa nafasi ya kuipa romance

Fikiria inakwambia ipo tayari kuliwa

Lakini kwa sharti la kupima kwanza ngoma

Kwa kweli ilibidi nijipe dharura kwa sababu ilikuwa ghafla sana. Mpaka mwaka unaisha ile pisi executive ilinipa tahadhari bila kupima nisigusie kabisa suala la sex.

Uzi huu sio muhimu unawapa taarifa tu.
Niuzie pambano
 
Icho kipimo ni feki mkuu
Yaan kipimo kmenchanganya hik nashndwa kuelewa.
Ila nataka nkafanye vipimo vingine mapema ili nijue kipi ni kipi,kama ninao niwe free nianze kula Toto Kali kali znazojiachiaga niwe natafuna bila presha
 
time ya kucheki majibu ni dk 10 mpaka 20 ukizidisha hapo unaweza pata wrong result
Et eee,baada ya kuona matokeo hayo ndo nakumbuka,niliwah kupima kwa kutumia vipimo hivyo nikiwa kituo cha afya,nilipomuomba daktar anipatie niondoke nacho alikataa akaniambia unaweza ondoka nacho ukafka nyumban majibu yakabadilika
 
Omba Mungu nyege zisikutawale....

Iwe KE au ME...

Omba sana Mungu.
Dada yangu nakushauri ukae kimyahujui mambo mengi,labda huo ushauri wako utawafaa wanawake wemzio lkn sio sisi wanaume.
Sisi wanaume Dada yangu tuna mtihani mgumu Sana hapa duniani,na umeshatushinda.
Katika amri kumi amri ambayo inaongoza kwa kuvunjwa Ni amri ya sita"usizini"
Ikifuatiwa na amri isemayo usitamani "mke wa mwenzako", haisemi "mme wa mwenzako".
Dada kitu usichokijua Ni kwamba "cuma" Ni tamu mno haikinahi.
Lakini kibaya zaidi wanawake Ni wazuri na wanavutia mno.
Kibaya kuliko yooote Ni kwamba tuna Nyege mno wakati wao wanatutamanisha Sana.
Kwa kifupi wanaume tunateseka Sana.
 
Yaan kipimo kmenchanganya hik nashndwa kuelewa.
Ila nataka nkafanye vipimo vingine mapema ili nijue kipi ni kipi,kama ninao niwe free nianze kula Toto Kali kali znazojiachiaga niwe natafuna bila presha
Mkuu ukiwa nao utakuwa unakula tu free huoni utakuwa unawapa wengine?
 
Yaan kipimo kmenchanganya hik nashndwa kuelewa.
Ila nataka nkafanye vipimo vingine mapema ili nijue kipi ni kipi,kama ninao niwe free nianze kula Toto Kali kali znazojiachiaga niwe natafuna bila presha
Kama unao mkuu ukiendelea kufanya ngono zembe unakua positive plus mkuu

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Dada yangu nakushauri ukae kimyahujui mambo mengi,labda huo ushauri wako utawafaa wanawake wemzio lkn sio sisi wanaume.
Sisi wanaume Dada yangu tuna mtihani mgumu Sana hapa duniani,na umeshatushinda.
Katika amri kumi amri ambayo inaongoza kwa kuvunjwa Ni amri ya sita"usizini"
Ikifuatiwa na amri isemayo usitamani "mke wa mwenzako", haisemi "mme wa mwenzako".
Dada kitu usichokijua Ni kwamba "cuma" Ni tamu mno haikinahi.
Lakini kibaya zaidi wanawake Ni wazuri na wanavutia mno.
Kibaya kuliko yooote Ni kwamba tuna Nyege mno wakati wao wanatutamanisha Sana.
Kwa kifupi wanaume tunateseka Sana.

Yaani hadi nimesikia sauti yako 😅😅😅

Nakuelewa.
 
Mkuu mwaka Umeuanz na PC Kali...
 
Back
Top Bottom