Mwaka 2020 Tsh. 10,000 ilinunua Petroli lita 5.3, leo Oktoba unaondoka na Lita 3 tu za Mafuta kituoni

Mwaka 2020 Tsh. 10,000 ilinunua Petroli lita 5.3, leo Oktoba unaondoka na Lita 3 tu za Mafuta kituoni

Mtoa Taarifa

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2024
Posts
213
Reaction score
671
1728479656377.png

Mwenendo wa Bei za Mafuta nchini kwa kipindi cha Miaka 10 (2014-2024 zinaonesha miaka ya 2015, 2016, 2017 na 2020 pekee ndio ilishuhudia Bei za chini za Mafuta nchini Tanzania kulinganisha na miaka mingine

Kwa mujibu wa takimu za EWURA, kwa kipindi cha miaka mitatu (2022, 2023, 2024) bei ya mafuta imebaki kuwa juu kuliko kipindi kingine ikitoka katika Wastani wa Tsh. 2,969 kwa lita hadi Tsh. 3,140 kwa Petroli

Aidha, Septemba 2020, Tsh. 10,000 ilikuwa na uwezo wa kununua Lita 5.3 za Petroli kwa Dar, wakati hadi Septemba 2024, kiasi hicho kinanunua Lita 3.1 za Petroli, Lita 3.3 za Dizeli na Lita 3.2 za Mafuta ya Taa.

Mwenendo wa Bei za Mafuta nchini Tanzania kwa Miaka 10

Mwaka | Petroli | Dizeli | Mafuta ya Taa
2014 - Tsh. 2,267 - Tsh. 2,091 - Tsh. 2,040
2015 - 2,153 - 1,832 - 1,770
2016 - 1,840 - 1,747 - 1,673
2017 - 1,989 1,887 1,811
2018 - 2,373 2,273 2,247
2019 - 2,236 2,168 2,132
2020 - 1,852 1,793 1,692
2021 - 2,427 2,251 2,176
2022 - 2,969 3,125 3,335
2023 - 3,213 3,259 2,943
2024 - 3,140 3,011 3,121

SOURCE: EWURA
 
Hatari sana! hapa ukiuliza sana utaishiwa kuambiwa vita ya Russia na Ukraine..

tuombe Mungu Iran na Israel wasiende mbele zaidi kwenye huu mzozo wao. Mafuta tutanunua 5000/=.

Ila hii biashara imechangamka sana kipindi hiki, naona vituo vya mafuta vinaongezeka kama uyoga,


yaani hata mazingira yasiyotakiwa kujengwa hivi vituo asaiv unaona vinajengwa.
 
View attachment 3119922
Mwenendo wa Bei za Mafuta nchini kwa kipindi cha Miaka 10 (2014-2024 zinaonesha miaka ya 2015, 2016, 2017 na 2020 pekee ndio ilishuhudia Bei za chini za Mafuta nchini Tanzania kulinganisha na miaka mingine

Kwa mujibu wa takimu za EWURA, kwa kipindi cha miaka mitatu (2022, 2023, 2024) bei ya mafuta imebaki kuwa juu kuliko kipindi kingine ikitoka katika Wastani wa Tsh. 2,969 kwa lita hadi Tsh. 3,140 kwa Petroli

Aidha, Septemba 2020, Tsh. 10,000 ilikuwa na uwezo wa kununua Lita 5.3 za Petroli kwa Dar, wakati hadi Septemba 2024, kiasi hicho kinanunua Lita 3.1 za Petroli, Lita 3.3 za Dizeli na Lita 3.2 za Mafuta ya Taa.

Mwenendo wa Bei za Mafuta nchini Tanzania kwa Miaka 10

Mwaka | Petroli | Dizeli | Mafuta ya Taa
2014 2,267 2,091 2,040
2015 2,153 1,832 1,770
2016 1,840 1,747 1,673
2017 1,989 1,887 1,811
2018 2,373 2,273 2,247
2019 2,236 2,168 2,132
2020 1,852 1,793 1,692
2021 2,427 2,251 2,176
2022 2,969 3,125 3,335
2023 3,213 3,259 2,943
2024 3,140 3,011 3,121

SOURCE: EWURA
Ndio hivyo maisha hubadilika.Mwaka 2015 ilinunua Lita 8 ila mwaka 2020 ikanunua Lita 5
 
Nishati ya mafuta ya petrol, diesel na umeme ilipaswa kuuzwa kama ilivyo bila kutafuta faida kubwa. Serikali imeweka mrija wake kwenye kila lita ya petrol na diesel, bado wafanyabiashara hawajapanga bei yao. Na biashara hiyo inapendwa sana na wanasiasa wakubwa hivyo bei ikipanda imepanda.
 
Hatari sana! hapa ukiuliza sana utaishiwa kuambiwa vita ya Russia na Ukraine..

tuombe Mungu Iran na Israel wasiende mbele zaidi kwenye huu mzozo wao. Mafuta tutanunua 5000/=.

Ila hii biashara imechangamka sana kipindi hiki, naona vituo vya mafuta vinaongezeka kama uyoga,


yaani hata mazingira yasiyotakiwa kujengwa hivi vituo asaiv unaona vinajengwa.
Mmeambiwa mshukuru Mungu mmesogezewa huduma mlangoni!!
 
R.i.p
View attachment 3119922
Mwenendo wa Bei za Mafuta nchini kwa kipindi cha Miaka 10 (2014-2024 zinaonesha miaka ya 2015, 2016, 2017 na 2020 pekee ndio ilishuhudia Bei za chini za Mafuta nchini Tanzania kulinganisha na miaka mingine

Kwa mujibu wa takimu za EWURA, kwa kipindi cha miaka mitatu (2022, 2023, 2024) bei ya mafuta imebaki kuwa juu kuliko kipindi kingine ikitoka katika Wastani wa Tsh. 2,969 kwa lita hadi Tsh. 3,140 kwa Petroli

Aidha, Septemba 2020, Tsh. 10,000 ilikuwa na uwezo wa kununua Lita 5.3 za Petroli kwa Dar, wakati hadi Septemba 2024, kiasi hicho kinanunua Lita 3.1 za Petroli, Lita 3.3 za Dizeli na Lita 3.2 za Mafuta ya Taa.

Mwenendo wa Bei za Mafuta nchini Tanzania kwa Miaka 10

Mwaka | Petroli | Dizeli | Mafuta ya Taa
2014 2,267 2,091 2,040
2015 2,153 1,832 1,770
2016 1,840 1,747 1,673
2017 1,989 1,887 1,811
2018 2,373 2,273 2,247
2019 2,236 2,168 2,132
2020 1,852 1,793 1,692
2021 2,427 2,251 2,176
2022 2,969 3,125 3,335
2023 3,213 3,259 2,943
2024 3,140 3,011 3,121

SOURCE: EWURA
#CHUMAJPM#
 
Wafabiashara wa mafuta ndio wanapanga bei hao wengine wanakuja kutangaza tu yakipanda ni Tsh 500 ila kushuka ni Tsh 100 au Tsh 90..usd imeshuka mwezi huu ila ushukaji wa bei ya mafuta ni mwendo wa konokono..
 
View attachment 3119922
Mwenendo wa Bei za Mafuta nchini kwa kipindi cha Miaka 10 (2014-2024 zinaonesha miaka ya 2015, 2016, 2017 na 2020 pekee ndio ilishuhudia Bei za chini za Mafuta nchini Tanzania kulinganisha na miaka mingine

Kwa mujibu wa takimu za EWURA, kwa kipindi cha miaka mitatu (2022, 2023, 2024) bei ya mafuta imebaki kuwa juu kuliko kipindi kingine ikitoka katika Wastani wa Tsh. 2,969 kwa lita hadi Tsh. 3,140 kwa Petroli

Aidha, Septemba 2020, Tsh. 10,000 ilikuwa na uwezo wa kununua Lita 5.3 za Petroli kwa Dar, wakati hadi Septemba 2024, kiasi hicho kinanunua Lita 3.1 za Petroli, Lita 3.3 za Dizeli na Lita 3.2 za Mafuta ya Taa.

Mwenendo wa Bei za Mafuta nchini Tanzania kwa Miaka 10

Mwaka | Petroli | Dizeli | Mafuta ya Taa
2014 - Tsh. 2,267 - Tsh. 2,091 - Tsh. 2,040
2015 - 2,153 - 1,832 - 1,770
2016 - 1,840 - 1,747 - 1,673
2017 - 1,989 1,887 1,811
2018 - 2,373 2,273 2,247
2019 - 2,236 2,168 2,132
2020 - 1,852 1,793 1,692
2021 - 2,427 2,251 2,176
2022 - 2,969 3,125 3,335
2023 - 3,213 3,259 2,943
2024 - 3,140 3,011 3,121

SOURCE: EWURA
Ni sawa natumai miaka ulivyokuwa nayo 2020 na sasa imekuwa tofauti
 
View attachment 3119922
Mwenendo wa Bei za Mafuta nchini kwa kipindi cha Miaka 10 (2014-2024 zinaonesha miaka ya 2015, 2016, 2017 na 2020 pekee ndio ilishuhudia Bei za chini za Mafuta nchini Tanzania kulinganisha na miaka mingine

Kwa mujibu wa takimu za EWURA, kwa kipindi cha miaka mitatu (2022, 2023, 2024) bei ya mafuta imebaki kuwa juu kuliko kipindi kingine ikitoka katika Wastani wa Tsh. 2,969 kwa lita hadi Tsh. 3,140 kwa Petroli

Aidha, Septemba 2020, Tsh. 10,000 ilikuwa na uwezo wa kununua Lita 5.3 za Petroli kwa Dar, wakati hadi Septemba 2024, kiasi hicho kinanunua Lita 3.1 za Petroli, Lita 3.3 za Dizeli na Lita 3.2 za Mafuta ya Taa.

Mwenendo wa Bei za Mafuta nchini Tanzania kwa Miaka 10

Mwaka | Petroli | Dizeli | Mafuta ya Taa
2014 - Tsh. 2,267 - Tsh. 2,091 - Tsh. 2,040
2015 - 2,153 - 1,832 - 1,770
2016 - 1,840 - 1,747 - 1,673
2017 - 1,989 1,887 1,811
2018 - 2,373 2,273 2,247
2019 - 2,236 2,168 2,132
2020 - 1,852 1,793 1,692
2021 - 2,427 2,251 2,176
2022 - 2,969 3,125 3,335
2023 - 3,213 3,259 2,943
2024 - 3,140 3,011 3,121

SOURCE: EWURA


Mkuu

Enzi za kuanzia 2015-2021 nchi hii ilibahatika kupata Rais wa kweli haswaa

Nchi hii haikuwa ikichezewa kama hivi sasa inavyochezewa kuanzia kwenye bei za mafuta mpaka US Dóllar

Magufuli alikuwa Rais mzalendo, mchapakazi na mwenye maono mapana sana juu ya maendeleo ya Tz na wananchi wake

Tunamuomba Mwenyezi Mungu amlaze mahali pema peponi huko alipo, na Mwenyezi Mungu atufanyie wepesi tupate Rais wa kariba ya Magufuli
 
View attachment 3119922
Mwenendo wa Bei za Mafuta nchini kwa kipindi cha Miaka 10 (2014-2024 zinaonesha miaka ya 2015, 2016, 2017 na 2020 pekee ndio ilishuhudia Bei za chini za Mafuta nchini Tanzania kulinganisha na miaka mingine

Kwa mujibu wa takimu za EWURA, kwa kipindi cha miaka mitatu (2022, 2023, 2024) bei ya mafuta imebaki kuwa juu kuliko kipindi kingine ikitoka katika Wastani wa Tsh. 2,969 kwa lita hadi Tsh. 3,140 kwa Petroli

Aidha, Septemba 2020, Tsh. 10,000 ilikuwa na uwezo wa kununua Lita 5.3 za Petroli kwa Dar, wakati hadi Septemba 2024, kiasi hicho kinanunua Lita 3.1 za Petroli, Lita 3.3 za Dizeli na Lita 3.2 za Mafuta ya Taa.

Mwenendo wa Bei za Mafuta nchini Tanzania kwa Miaka 10

Mwaka | Petroli | Dizeli | Mafuta ya Taa
2014 - Tsh. 2,267 - Tsh. 2,091 - Tsh. 2,040
2015 - 2,153 - 1,832 - 1,770
2016 - 1,840 - 1,747 - 1,673
2017 - 1,989 1,887 1,811
2018 - 2,373 2,273 2,247
2019 - 2,236 2,168 2,132
2020 - 1,852 1,793 1,692
2021 - 2,427 2,251 2,176
2022 - 2,969 3,125 3,335
2023 - 3,213 3,259 2,943
2024 - 3,140 3,011 3,121

SOURCE: EWURA
1971 shlingi 2 sawa na dola 1
 
Back
Top Bottom