Landson Tz
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 304
- 238
Gharma za bidhaa zilikuwa juu naona na mwaka huu bado zimeendelea kuwa juu. Bidhaa za muhimu sana zaidi ya mafuta zimekuwa bei ghali, CHAKULA.
Sihitaji kutaja bei kwani kila anajione janga hili.
Sasa najaribu kutafakari nini chakufanya ili hali hii isiendelee kuumiza watanzania hasa wa kipato cha chini. Ni nani atusaidie?
Je, The great thinkers mnashaurije wananchi na serikali ili tuweze kutoka hapa tulipo kama taifa?
Sihitaji kutaja bei kwani kila anajione janga hili.
Sasa najaribu kutafakari nini chakufanya ili hali hii isiendelee kuumiza watanzania hasa wa kipato cha chini. Ni nani atusaidie?
Je, The great thinkers mnashaurije wananchi na serikali ili tuweze kutoka hapa tulipo kama taifa?