Mwaka 2023 magoli ya Simba 80% ni ya penati

Mwaka 2023 magoli ya Simba 80% ni ya penati

Utafiti,

Kwa mwaka ulioisha timu ya Simba ndiyo timu iliyoongoza Kwa kupata ushindi kupitia magoli ya penalty kwenye michuano ya ndani na nje.

Kwenye Kila magoli 3 ya Simba Kuna goli Moja la penalty hivyo hiki ni kiwango kikubwa Kwa timu kinachoweza kuiua timu au kujenga.

Madhara yake
Hii inaweza kufanya timu iwe dormant (kudumaa) since inamtegea mwamuzi kupata matokeo.

Ubora
Hii pia inaonyesha wachezaji wa Simba ni mabingwa wa kupiga penalty lakini pia ni opportunistic (kutafuta penalty either Kwa kujiangusha)

Kwa swali, maoni, mapendekezo unakaribishwa.

Utafiti huu umeandaliwa na chambuzi la JF ... LABAN og
Acheni kupiga mitama hao wachezaji wanapotaka kufunga.
 
Nitajitaid niweke magoli yote tutakayofunga huu mwaka🤣
 
Ungemalizia kwa kusema, matukio ya mechi nyingi za Simba yamekua yaki wadhalilisha marefa wengi na kuchangia kwa kiasi kikubwa marefa wetu kuto teuliwa kuchezesha michuano mikubwa.
Tuweke idadi ya marefa waliofungiwa kwa matukio kati ya mechi za simba na zile za yanga kisha watakao zidi ndio tutamaliza kusema wanasababisha marefa wetu kutoteuliwa kuchezesha michuano mikubwa .Kama uko tayari sema.
 
Simba kushinda bila penati ni ndoto za mchana
Walevi wenzio hawa
Screenshot_2024-01-04-08-24-48-44.jpg
 
Kumbe umerogwaaa? Tukusamehe buree kwa kupost uharo JF.
ugua poleee mtani. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ilikuwa miaka hyo....kishule shule mlikuwa vichawi
 
Back
Top Bottom