Mwaka 2023 magoli ya Simba 80% ni ya penati

Mwaka 2023 magoli ya Simba 80% ni ya penati

Unaijua jumla ya magoli yote ya kolo fc... kwenye michuano yote mwaka 2023
Uto iko hivi ulivyosema tu kila goli 3 goli moja ni penat, % ya magoli ya penat itakuwa ni 33.33% bila kujali jumla ya magoli yaliyofungwa.

Ngoja nikupe shule naona kwako hesabu changamoto.
Mfano : (1) jumla ya magoli yaliyofungwa ni 40. Magoli ya penati itakuwa 40/3=13.33
(13.33/40)*100=33.33%
(2) magoli yaliyofungwa ikiwa ni 200, magoli ya penati itakuwa 200/3=66.67 (66.67/200)*100=33.33%

Umeelewa hapo uto.
 
Ndugu mchambuzi umeyakanyaga hadi unataka kuikimbia hoja uliyoianzsisha.

Umeleta % ulizozikokotoa kwa akili yako ya kichura chura huku ukiwa hujui kukokotoa hesabu.

Chura banah[emoji16][emoji16]
Hapana mkuu....Mimi ni pcm purely.... hesabu ndo talanta yangu
 
Uto iko hivi ulivyosema tu kila goli 3 goli moja ni penat, % ya magoli ya penat itakuwa ni 33.33% bila kujali jumla ya magoli yaliyofungwa.

Ngoja nikupe shule naona kwako hesabu changamoto.
Mfano : (1) jumla ya magoli yaliyofungwa ni 40. Magoli ya penati itakuwa 40/3=13.33
(13.33/40)*100=33.33%
(2) magoli yaliyofungwa ikiwa ni 200, magoli ya penati itakuwa 200/3=66.67 (66.67/200)*100=33.33%

Umeelewa hapo uto.
Degree ya chuo Gani Mzee .....au voice college [emoji23]
 
Utafiti,

Kwa mwaka ulioisha timu ya Simba ndiyo timu iliyoongoza Kwa kupata ushindi kupitia magoli ya penalty kwenye michuano ya ndani na nje.

Kwenye Kila magoli 3 ya Simba Kuna goli Moja la penalty hivyo hiki ni kiwango kikubwa Kwa timu kinachoweza kuiua timu au kujenga.

Madhara yake
Hii inaweza kufanya timu iwe dormant (kudumaa) since inamtegea mwamuzi kupata matokeo.

Ubora
Hii pia inaonyesha wachezaji wa Simba ni mabingwa wa kupiga penalty lakini pia ni opportunistic (kutafuta penalty either Kwa kujiangusha)

Kwa swali, maoni, mapendekezo unakaribishwa.

Utafiti huu umeandaliwa na chambuzi la JF ... LABAN og
Naiona Yanga ikichukua ubingwa wa ligi ikiwa bado mechi 15 mkononi
 
Sio kosa kuwa kilaza kwenye hesabu hauko peke yako. Halafu hilo swali halihitaji degree , leta swali level ya degree ili ujue degree yangu imetoka wapi.
Vijana kama nyie ni hasara Kwa taifa
 
We kipepe kama avatar yako 🤣 🤣 anza kutunza rekodi ya 2024....
 
Back
Top Bottom