Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Nalimia Sumbawanga, Rukwa. KaribuKilimo unafanya mkoa gani mkuu?
Expensive sana. Pia unaweza kupata bahati mbaya kisima kikawa na chumvi nyingi na hivyo maji yasifae kwa irrigation.Maji ya kuchimba yana ubaya gan mkuu
Bwana Okwi...msimu umeisha huu, lete mrejesho?Nawasalimu kwa jina la aliye juu wakulima wenzangu.
Nasimama hapa kutangaza rasmi kwamba 2023 nitafia shambani. Nimejiridha pasipo na shaka kwamba mali utaipata shambani.
Kwa hiyo 2022 nimeitumia vizuri kujiandaa na kutafuta mtaji. Nasema nitafia shambani nikijiamini kwa sababu ya maandalizi niliyofanya. Nimekuwa na zana zote muhimu za kilimo. Trekta 2 ndogo 2WD zipo tayari mguu sawa,moja ikiwa ya kulima vibarua ili mapato yake yanisaidie kuhudumia mashamba kwa ufanisi wa hali ya juu. Ile ya pili sasa itakuwa kwa ajili ya mashamba yangu tu. Tayari harrow na planter vimepatikana. Hakuna kupanda kienyeji. Ni kitaalamu tu.
Upande wa mashamba naona ni gharama sana kuyamiliki. Zimepatikana ekari 120 Singida changamoto shamba ni pori linahitaji kusafisha. Nimeziweka kiporo mwakani. Kwa hiyo mwaka huu nitakodi tu.
Kwa kuanzia nimekodi ekari 150 katika mikoa miwili tofauti. Ekari 100 zao moja ekari 50 zao lingine. Gharama za kukodi bado chini sana 40,000- 50,000. Tayari amepatikana bwana shamba ampaye nitaingia naye partnership ya mwaka mmoja kwa asilimia fulani ya mapato yote. Yeye kazi yake ni kusimamia tu kulingana na utaalamu wake. Mimi nitamuhudimia kila kitu.
Kingine nimechagua sana kutumia teknolojia. Ukiwa na hela kidogo mambo mengi yanarahisishwa na teknolojia. Kupalilia mashine zipo, kufukuza ndege mashine zipo, kupanda na kuweka mbolea zipo. Kupiga dawa nk.
Kinachobaki hapo ni kumuomba Mungu tu ashushe mvua nzuri kustawisha mazao. Mimi ni mzuri wa Risk Management, nimeona kulima mazao yanayistahili ukamu kama dengu, mtama na alizeti.
Kwa hiyo kwa upande wangu nimejitahidi na nitajitahidi sana tu, sehemu iliyobaki ni ya Baba wa Mbinguni. Wakati mvua inanyesha wewe unafurahi kupata maji ya kunywa, mimi nafurahi kuvuna maekari.
Huu ni uzi ni kwa ajili ya watu wanaoamini kufanikiwa wakimtanguliza Mungu huku wakifanya kazi. Sio wale wanamlilia Mungu bila kufanya kazi wakiamini kwenye miujiza ya bila kazi. Sio wale wakatisha tamaa kwao kila kitu kigumu.
Hatutajadili stori za kukatishana tamaa. Haimaanishi kwamba hakuna changamoto, basi tulete changamoto na mbinu za kutatua.
Kifupi 2023 tupunguze maneno meengi na ngonjera tufanye kazi.
ππππ¨π¨Bwana Okwi...msimu umeisha huu, lete mrejesho?
Tunaendelea na mavuno mkuu. Kinachotia moyo ni bei ya dengu ipo sawa tena ni wakati wa mavunoBwana Okwi...msimu umeisha huu, lete mrejesho?
Safi sana...all the best mkuu. Hapo ukisubiri kidogo unaweza kupiga bingo nzuri tu!Tunaendelea na mavuno mkuu. Kinachotia moyo ni bei ya dengu ipo sawa tena ni wakati wa mavuno
Lima, lakini usife mkuu, !Nawasalimu kwa jina la aliye juu wakulima wenzangu.
Nasimama hapa kutangaza rasmi kwamba 2023 nitafia shambani. Nimejiridha pasipo na shaka kwamba mali utaipata shambani.
Kwa hiyo 2022 nimeitumia vizuri kujiandaa na kutafuta mtaji. Nasema nitafia shambani nikijiamini kwa sababu ya maandalizi niliyofanya. Nimekuwa na zana zote muhimu za kilimo. Trekta 2 ndogo 2WD zipo tayari mguu sawa,moja ikiwa ya kulima vibarua ili mapato yake yanisaidie kuhudumia mashamba kwa ufanisi wa hali ya juu. Ile ya pili sasa itakuwa kwa ajili ya mashamba yangu tu. Tayari harrow na planter vimepatikana. Hakuna kupanda kienyeji. Ni kitaalamu tu.
Upande wa mashamba naona ni gharama sana kuyamiliki. Zimepatikana ekari 120 Singida changamoto shamba ni pori linahitaji kusafisha. Nimeziweka kiporo mwakani. Kwa hiyo mwaka huu nitakodi tu.
Kwa kuanzia nimekodi ekari 150 katika mikoa miwili tofauti. Ekari 100 zao moja ekari 50 zao lingine. Gharama za kukodi bado chini sana 40,000- 50,000. Tayari amepatikana bwana shamba ampaye nitaingia naye partnership ya mwaka mmoja kwa asilimia fulani ya mapato yote. Yeye kazi yake ni kusimamia tu kulingana na utaalamu wake. Mimi nitamuhudimia kila kitu.
Kingine nimechagua sana kutumia teknolojia. Ukiwa na hela kidogo mambo mengi yanarahisishwa na teknolojia. Kupalilia mashine zipo, kufukuza ndege mashine zipo, kupanda na kuweka mbolea zipo. Kupiga dawa nk.
Kinachobaki hapo ni kumuomba Mungu tu ashushe mvua nzuri kustawisha mazao. Mimi ni mzuri wa Risk Management, nimeona kulima mazao yanayistahili ukamu kama dengu, mtama na alizeti.
Kwa hiyo kwa upande wangu nimejitahidi na nitajitahidi sana tu, sehemu iliyobaki ni ya Baba wa Mbinguni. Wakati mvua inanyesha wewe unafurahi kupata maji ya kunywa, mimi nafurahi kuvuna maekari.
Huu ni uzi ni kwa ajili ya watu wanaoamini kufanikiwa wakimtanguliza Mungu huku wakifanya kazi. Sio wale wanamlilia Mungu bila kufanya kazi wakiamini kwenye miujiza ya bila kazi. Sio wale wakatisha tamaa kwao kila kitu kigumu.
Hatutajadili stori za kukatishana tamaa. Haimaanishi kwamba hakuna changamoto, basi tulete changamoto na mbinu za kutatua.
Kifupi 2023 tupunguze maneno meengi na ngonjera tufanye kazi.
Mkuu nina uhitaji na pump aina ya money maker, zinapatikana vipi na gharama yake ipoje?Watu wanatakiwa kujua kuwa Kilimo ni uwekezaji kama uwekezaji Mwingine.
Lima karibu na chanzo cha maji na pia jitahidi kuwa na Pampu ya Umeme au ya kusukuma kama Money Maker.
Utafiti wa soko ukifanywa kwa umakini basi Kilimo kinalipa sana.
Mkuu tuliingia mkataba wa kukupa mrejesho? Kuna sheria inanilazimisha kukupa mresho? Kwa taarifa yako nimefanikiwa zaidi ya mategemeo. Nitapata muda wa kuandika kwa utashi wangu sio wewe kunipangia. Ili yawe mafanikio lazima niyalete hapa?Ninaendelea kujifunza kitu Cha ajabu, watu wanaoropoka mipango yao huwa hawafanikiwi, hii Ni December, hakuna mrejesho, kumbuka alianza kupanda January, mazao ya msimu!!!
Mungu nisaidie na Mimi, haka ka kikwazo la uroporopo nikashinde kabisa
mkuu tafuta "ten commandments of NEVER" zitakusaidia sana, mm wakati nazifuata kwa ukamilifu zilinisaidia sana, nilipoanza kuzikiuka mambo yakabadilika.Ninaendelea kujifunza kitu Cha ajabu, watu wanaoropoka mipango yao huwa hawafanikiwi, hii Ni December, hakuna mrejesho, kumbuka alianza kupanda January, mazao ya msimu!!!
Mungu nisaidie na Mimi, haka ka kikwazo la uroporopo nikashinde kabisa
kabisa mwasibuView attachment 2852303
Mkuu tuliingia mkataba wa kukupa mrejesho? Kuna sheria inanilazimisha kukupa mresho? Kwa taarifa yako nimefanikiwa zaidi ya mategemeo. Nitapata muda wa kuandika kwa utashi wangu sio wewe kunipangia.
Mwenyewe umesema nimeropoka mipango, je iweje unataka niropoke mafanikio?
Ila amewatia moyo baadhi ya wakulima πππNinaendelea kujifunza kitu Cha ajabu, watu wanaoropoka mipango yao huwa hawafanikiwi, hii Ni December, hakuna mrejesho, kumbuka alianza kupanda January, mazao ya msimu!!!
Mungu nisaidie na Mimi, haka ka kikwazo la uroporopo nikashinde kabisa
Mkuu sijaziona hebu tusaidianemkuu tafuta "ten commandments of NEVER" zitakusaidia sana, mm wakati nazifuata kwa ukamilifu zilinisaidia sana, nilipoanza kuzikiuka mambo yakabadilika.
Mkuu msimu ulishapita na tuliuza toka September 2023. Hapa tunafanya maandalizi ya msimu wa 2024. Nitapata muda wa kuweka updatesVipi maendeleo