gbefa
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 3,807
- 15,840
Ndio mkuu niko mbeya inshu hizi hizi za kilimo.. Moro sikuilewa kidogo..Mkuu umeshahama morogoro?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mkuu niko mbeya inshu hizi hizi za kilimo.. Moro sikuilewa kidogo..Mkuu umeshahama morogoro?
Hapo Kazi Tu!Shambani usiende kwa hisia, mwaka 2022 mimi nashukuru serikali haikupiga marufuku kuuza nje ya nchi ndio angalau nimerudisha gharama kwasababu mahindi yalikaukia shambani, nilitarajia kuvuna gunia 200 lakini nikaishia gunia 70. Nimewauzia wakenya.
Maharage nilitaka yavunwe gunia 80 lakini nimeishia kwenye 30 kwasababu kuna mvua kidogo ilileta wadudu halafu ikakata hivyo maharage karibu heka 15 yakaliwa. Mengi nilipata deal la watu wa mbegu nikawauzia. Alizeti angalau ilivumilia ukame na zipo gunia 120 nakaribia kuzikamua niuze.
All the best mkuu na Ahsante kwa kuniongezea hasira.. Mimi nitafia kwenye stage na online [emoji16]
Mkubwa sikupingi lakn umenpa maswal Sana, kwa mawazo yako wakulima waliofanikiwa huwatambui? Manyara Kuna karasinga analima maelfu y hekar za ngano hanunui hata debe moja, mbeya kweny schem y umwagliaji wanakotokea ihefu fc mashamba yabanilikiwa na kampun inakima mpunga sio mchezo kwhyo wote Hawa kwako unahtimisha kw kauli kilimo hakilipi?Kilimo hakilipi, huo ndio ukweli. Tena wewe kwa akili fupi ulizonazo ndio kabisaa unaangukia pua.
Narudia tena,bongo kilimo hakilipi. Kinacholipa ni udalali wa kilimo. Huo mtaji ingia vijijini nenda kalanvue kwa wakulima aalafu wewe nenda kauze hapo ndio utapata pesa
Wanalima vijijini Yale ndio maisha yao, apate akose wala hawana shida. Mwaka huu atalima ekari 5, mwakani atalima ekari 2, mwaka unaofuata ekari 7. Ndio hivyo wanaishi siku zote
Makampuni makubwa ya mazao ya biashara iwe alizeti, korosho, pamba, tumbaku n.k huwa wananunua kutoka kwa wakulima, jiulize kwa nn wao hawalimi?
Nakubali unasema makampun makubwa y kilimo mazao y biashara hawalimi, swal kwa mim nisie na kampun nispolima napata wapi mtaj wa kununulia? Pia unajikuta unafamilia je watoto pmj na Mama yao km wanainterest na kilimo niwazuie tusubr kununua?Mkubwa sikupingi lakn umenpa maswal Sana, kwa mawazo yako wakulima waliofanikiwa huwatambui? Manyara Kuna karasinga analima maelfu y hekar za ngano hanunui hata debe moja, mbeya kweny schem y umwagliaji wanakotokea ihefu fc mashamba yabanilikiwa na kampun inakima mpunga sio mchezo kwhyo wote Hawa kwako unahtimisha kw kauli kilimo hakilipi?
Mzee mpaka kilimo kikulipe kuna vitu vya kuzingatia.Kilimo hakilipi, huo ndio ukweli. Tena wewe kwa akili fupi ulizonazo ndio kabisaa unaangukia pua.
Narudia tena,bongo kilimo hakilipi. Kinacholipa ni udalali wa kilimo. Huo mtaji ingia vijijini nenda kalanvue kwa wakulima aalafu wewe nenda kauze hapo ndio utapata pesa
Wanalima vijijini Yale ndio maisha yao, apate akose wala hawana shida. Mwaka huu atalima ekari 5, mwakani atalima ekari 2, mwaka unaofuata ekari 7. Ndio hivyo wanaishi siku zote
Makampuni makubwa ya mazao ya biashara iwe alizeti, korosho, pamba, tumbaku n.k huwa wananunua kutoka kwa wakulima, jiulize kwa nn wao hawalimi?
Kama utaruhusu naomba nitembelee shamba lako ili nijifunze kutokea hapo.Nawasalimu kwa jina la aliye juu wakulima wenzangu.
Nasimama hapa kutangaza rasmi kwamba 2023 nitafia shambani. Nimejiridha pasipo na shaka kwamba mali utaipata shambani.
Kwa hiyo 2022 nimeitumia vizuri kujiandaa na kutafuta mtaji. Nasema nitafia shambani nikijiamini kwa sababu ya maandalizi niliyofanya. Nimekuwa na zana zote muhimu za kilimo. Trekta 2 ndogo 2WD zipo tayari mguu sawa,moja ikiwa ya kulima vibarua ili mapato yake yanisaidie kuhudumia mashamba kwa ufanisi wa hali ya juu. Ile ya pili sasa itakuwa kwa ajili ya mashamba yangu tu. Tayari harrow na planter vimepatikana. Hakuna kupanda kienyeji. Ni kitaalamu tu.
Upande wa mashamba naona ni gharama sana kuyamiliki. Zimepatikana ekari 120 Singida changamoto shamba ni pori linahitaji kusafisha. Nimeziweka kiporo mwakani. Kwa hiyo mwaka huu nitakodi tu.
Kwa kuanzia nimekodi ekari 150 katika mikoa miwili tofauti. Ekari 100 zao moja ekari 50 zao lingine. Gharama za kukodi bado chini sana 40,000- 50,000. Tayari amepatikana bwana shamba ampaye nitaingia naye partnership ya mwaka mmoja kwa asilimia fulani ya mapato yote. Yeye kazi yake ni kusimamia tu kulingana na utaalamu wake. Mimi nitamuhudimia kila kitu.
Kingine nimechagua sana kutumia teknolojia. Ukiwa na hela kidogo mambo mengi yanarahisishwa na teknolojia. Kupalilia mashine zipo, kufukuza ndege mashine zipo, kupanda na kuweka mbolea zipo. Kupiga dawa nk.
Kinachobaki hapo ni kumuomba Mungu tu ashushe mvua nzuri kustawisha mazao. Mimi ni mzuri wa Risk Management, nimeona kulima mazao yanayistahili ukamu kama dengu, mtama na alizeti.
Kwa hiyo kwa upande wangu nimejitahidi na nitajitahidi sana tu, sehemu iliyobaki ni ya Baba wa Mbinguni. Wakati mvua inanyesha wewe unafurahi kupata maji ya kunywa, mimi nafurahi kuvuna maekari.
Huu ni uzi ni kwa ajili ya watu wanaoamini kufanikiwa wakimtanguliza Mungu huku wakifanya kazi. Sio wale wanamlilia Mungu bila kufanya kazi wakiamini kwenye miujiza ya bila kazi. Sio wale wakatisha tamaa kwao kila kitu kigumu.
Hatutajadili stori za kukatishana tamaa. Haimaanishi kwamba hakuna changamoto, basi tulete changamoto na mbinu za kutatua.
Kifupi 2023 tupunguze maneno meengi na ngonjera tufanye kazi.
Huu mfumo ndio nauanza Rasmi mwaka huuhiyo pesa ungeniomba ushauri ningekushauri kitu cha kufanya shambani, kiufupi mkulima fuga , fuga , fuga na kulima lazima uchape pesa
Katika 100%, waliofanikiwa wakiwa ni 5% tu, hapo tafsiri yake nini?Mkubwa sikupingi lakn umenpa maswal Sana, kwa mawazo yako wakulima waliofanikiwa huwatambui? Manyara Kuna karasinga analima maelfu y hekar za ngano hanunui hata debe moja, mbeya kweny schem y umwagliaji wanakotokea ihefu fc mashamba yabanilikiwa na kampun inakima mpunga sio mchezo kwhyo wote Hawa kwako unahtimisha kw kauli kilimo hakilipi?
SahihiKilimo hakilipi, huo ndio ukweli. Tena wewe kwa akili fupi ulizonazo ndio kabisaa unaangukia pua.
Narudia tena,bongo kilimo hakilipi. Kinacholipa ni udalali wa kilimo. Huo mtaji ingia vijijini nenda kalanvue kwa wakulima aalafu wewe nenda kauze hapo ndio utapata pesa
Wanalima vijijini Yale ndio maisha yao, apate akose wala hawana shida. Mwaka huu atalima ekari 5, mwakani atalima ekari 2, mwaka unaofuata ekari 7. Ndio hivyo wanaishi siku zote
Makampuni makubwa ya mazao ya biashara iwe alizeti, korosho, pamba, tumbaku n.k huwa wananunua kutoka kwa wakulima, jiulize kwa nn wao hawalimi?
Shambani usiende kwa hisia, mwaka 2022 mimi nashukuru serikali haikupiga marufuku kuuza nje ya nchi ndio angalau nimerudisha gharama kwasababu mahindi yalikaukia shambani, nilitarajia kuvuna gunia 200 lakini nikaishia gunia 70. Nimewauzia wakenya.
Maharage nilitaka yavunwe gunia 80 lakini nimeishia kwenye 30 kwasababu kuna mvua kidogo ilileta wadudu halafu ikakata hivyo maharage karibu heka 15 yakaliwa. Mengi nilipata deal la watu wa mbegu nikawauzia. Alizeti angalau ilivumilia ukame na zipo gunia 120 nakaribia kuzikamua niuze.