ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #21
Inaonesha kiwango Cha Ustawi kimaisha,si ajabu mumejaza mahifadhi ya Taifa yasiyo na Msaada maana wageni wachache wanakuja ila wenyeji hawana pesa za kulipia Utalii.Kila mtu na maisha yake kama wao wanasafiri na ndege sisi inatuhusu nini?
Mimi ndio usafiri wangu,umri huu over 40 ni WA kukaa masaa 12 kwenye Bus?Wewe mwenyewe huwezi kusafiri na ndege kutoka kwenu Mbeya hadi Dar sasa unafikiri itakuwa rahisi kwa mtu wa Mbozi kama Lucas Mwashambwa kusafiri na ndege??
Ndege bado ni anasa kubwa sana bongo.
Huwa wanasafiri kwenda China kufunga mzigo na wengine Mecca kuhiji.Hao wenzao wanaenda wapi? Watu wanasafiri kila pande ya Dunia kutafuta biashy,Elimu na Utalii unasema waende wapi?
Wanatafuta maisha kokote nyie mumerundikana hapa hapa Bongo matokeo yake Nafasi 2,600 za Polisi mnaomba 22,000? 😂😂Wakenya wengi ni manesi nchi za ulaya na marekani
Wakenya wengi ni ma house girl uarabuni.
Hivyo wanasafiri sana kwa ndege kwenda majuu makazini kwao na kurudi kenya likizo ama kuhudhuria misiba ya wazazi wao.
Tofauti na wabongo wengi wanafanya kazi hapa hapa bongo. Na wachache ni ma house girl uarabuni.. ambao hawana tabia ya kurudi bongo mara kwa mara
Mada ni Kenya vs Tanznaia.Wana miundombinu ya Barabara mizuri kuliko sisi lakini wanatumia sana usafiri wa ndege ndani ya Nchi.Kusafiri kwa ndege kwa baadhi ya nchi ni lazima wala sio anasa kutokana na ubovu wa miundombinu na usalama. Wakongo wanapanda sana ndege kutokana na ubovu wa barabara zao na usalama mdogo. Hivyo hauwezi kusema wakongo ni matajiri sana kuliko watanzania kisa wanapanda ndege.
Hili ni tatizo tena kubwa sana linalochangiwa na ujinga na ushambaPassport ni anasa bongo utataja hadi jina la jirani wa nyanya ako aliyefariki 1947.
Wabongo wengi hawana exposure. Wamejazwa ujinga bongo ni mbinguni kila mtu anatuonea wivu kwa mali zetu, mali zenyewe hamna. So wengi wamerundikana bongo kama nyanya.
And of course umaskini. GDP ya Kenya almost doubles ile ya Tanzagiza.
Wewe punguani,fukara utapanda ndege? Kama sio maendeleo wewe umewahi kupanda?kupanda ndege ndio maendeleo? ligi zingine hazina hata maana
Tanznaia ambako ufukara haupo why mshindwe kupanda ndege? Fukara anapata wapi hela ya kupanda ndege? Acha stori za kuambiwa vijiweni.Kenya Kuna ufukara wa kutisha,hata kula shida,kwa nini wasikimbie kwao!?
Kenya Kuna ufukara wa kutisha,hata kula shida,kwa nini wasikimbie kwao!?
Upande ndege uende wapi!?Tanznaia ambako ufukara haupo why mshindwe kupanda ndege? Fukara anapata wapi hela ya kupanda ndege? Acha stori za kuambiwa vijiweni.
Wanaopanda Huwa wanaenda wapi?Upande ndege uende wapi!?
Sina mb za kutosha,video yahusu nini!?
Kwa hiyo mamlaka Yao ya Anga inaweza kupika data Ili kitokee nini?Achana na data za kupika za wakunya
Kawaulize wao wanaokimbia njaa kwaoWanaopanda Huwa wanaenda wapi?
Hii ni stategy ya Nyerere kuwadumaza watu wasiweze kudai haki zaoUmasikini unaambatana na lack of knowledge, na hiyo inazaa watu wenye low IQ , madhara yake wanawekeana vikwazo kwa kwenda nje or hawaoni opportunity za kwenda nje
Na wakishindwa wanaenda kuwaponda wanao enda huko. And that say something kwa jamii ya kitanzania
Hili ndio jibu umaskini umezidi si ajabu hata Boss wa TRA alikuwa anashangaa Nchi ya watu 65mln wenye Tin namba na kulipa Kodi hawazisi mil.2Kibongobongo ndege ni usafiri wa anasa, ni usafiri wa wenye nacho. Levels za umasikini kwa nchi yetu hata sio za kuulizana...