Mwaka 2023, wakenya milioni 12 walisafiri kwa ndege ilhali watanzania milioni 3.8. Je, sisi watanzania shida ni umaskini au tunaogopa kusafiri?

Mwaka 2023, wakenya milioni 12 walisafiri kwa ndege ilhali watanzania milioni 3.8. Je, sisi watanzania shida ni umaskini au tunaogopa kusafiri?

Kila mtu na maisha yake kama wao wanasafiri na ndege sisi inatuhusu nini?
Inaonesha kiwango Cha Ustawi kimaisha,si ajabu mumejaza mahifadhi ya Taifa yasiyo na Msaada maana wageni wachache wanakuja ila wenyeji hawana pesa za kulipia Utalii.
 
Wakenya wengi ni manesi nchi za ulaya na marekani

Wakenya wengi ni ma house girl uarabuni.

Hivyo wanasafiri sana kwa ndege kwenda majuu makazini kwao na kurudi kenya likizo ama kuhudhuria misiba ya wazazi wao.

Tofauti na wabongo wengi wanafanya kazi hapa hapa bongo. Na wachache ni ma house girl uarabuni.. ambao hawana tabia ya kurudi bongo mara kwa mara
Wanatafuta maisha kokote nyie mumerundikana hapa hapa Bongo matokeo yake Nafasi 2,600 za Polisi mnaomba 22,000? 😂😂

Kwa hali hii nani wajanja?
 
Kusafiri kwa ndege kwa baadhi ya nchi ni lazima wala sio anasa kutokana na ubovu wa miundombinu na usalama. Wakongo wanapanda sana ndege kutokana na ubovu wa barabara zao na usalama mdogo. Hivyo hauwezi kusema wakongo ni matajiri sana kuliko watanzania kisa wanapanda ndege.
Mada ni Kenya vs Tanznaia.Wana miundombinu ya Barabara mizuri kuliko sisi lakini wanatumia sana usafiri wa ndege ndani ya Nchi.

Kwa nini sisi Watanzania tunaona ndege ni anasa au hatuna pesa?
 
Passport ni anasa bongo utataja hadi jina la jirani wa nyanya ako aliyefariki 1947.

Wabongo wengi hawana exposure. Wamejazwa ujinga bongo ni mbinguni kila mtu anatuonea wivu kwa mali zetu, mali zenyewe hamna. So wengi wamerundikana bongo kama nyanya.

And of course umaskini. GDP ya Kenya almost doubles ile ya Tanzagiza.
Hili ni tatizo tena kubwa sana linalochangiwa na ujinga na ushamba
 
Umasikini unaambatana na lack of knowledge, na hiyo inazaa watu wenye low IQ , madhara yake wanawekeana vikwazo kwa kwenda nje or hawaoni opportunity za kwenda nje

Na wakishindwa wanaenda kuwaponda wanao enda huko. And that say something kwa jamii ya kitanzania
Hii ni stategy ya Nyerere kuwadumaza watu wasiweze kudai haki zao
 
Kibongobongo ndege ni usafiri wa anasa, ni usafiri wa wenye nacho. Levels za umasikini kwa nchi yetu hata sio za kuulizana...
Hili ndio jibu umaskini umezidi si ajabu hata Boss wa TRA alikuwa anashangaa Nchi ya watu 65mln wenye Tin namba na kulipa Kodi hawazisi mil.2
 
Pesa ya likizo waweke kwa viwango vya nauli ya ndege , kila mtu ataenda kwao kwa ndege , wale wa Dar-Mbeya wana moyo kusafiri na gari .
 
Back
Top Bottom