To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Mi nasubiri unioe hapa,afu wewe unasemaje?inahusiana sana hebu okoa maokoto mwaka unaoanza huo....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nasubiri unioe hapa,afu wewe unasemaje?inahusiana sana hebu okoa maokoto mwaka unaoanza huo....
Naam, tufungue akili Mkuu juu ya hayoSawa Mkuu
Wengine Tunachojua Ni Habari Ya Kuzaliwa Yesu Na Wale Mamajusi Wa Mashariki:-
Bartazar
Merchory
Gasper
asante mkuu, vipi jina la NELSON linatoa no ngapi?Namba 4 katika kinumerolojia inaweza kuwa na udhaifu wa kuwa mgumu au wa kusita kubadilika. Watu walio na mwelekeo wa namba 4 wanaweza kuwa na upendeleo wa kushikilia mambo yaliyojulikana, na mara nyingine wanaweza kuwa wagumu katika kubadilika au kujaribu vitu vipya. Pia, wanaweza kuwa na uwezo mdogo wa kusamehe au kubadilisha mtazamo wakati mambo yanapokwenda kinyume na matarajio yao. Hata hivyo, kama ilivyo kwa sifa zote, hizi ni tabia ambazo mtu anaweza kuzitambua na kuzifanyia kazi ili kuboresha uwezo wao wa kufanya maamuzi na kusonga mbele.
(N + E + L + S + O + N)(5 + 5 + 3 + 1 + 6 + 5)= 25asante mkuu, vipi jina la NELSON linatoa no ngapi
Herufi ikiwa na namba mbili unaweza kuzijumlisha na kuwa namba moja (single digit) mfano N=14 =(1+4)=5Katika numerolojia, kila herufi ya alfabeti inaambatana na namba maalum. Mfumo wa kawaida unaotumiwa ni kama ifuatavyo:
Kwa kutumia mifano hiyo, unaweza kuchukua jina au neno lolote, na kwa kila herufi katika neno hilo, utapata namba zake sawa na mfumo huu wa kinumerolojia. Baadhi ya watu hutumia mfumo huu wa kinumerolojia kufanya uchambuzi wa maneno, majina, au hata matukio kwa kufuata misingi ya namba hizo kama sehemu ya uchanganuzi wao wa kinumerolojia.
- A = 1
- B = 2
- C = 3
- D = 4
- E = 5
- F = 6
- G = 7
- H = 8
- I = 9
- J = 10
- K = 11
- L = 12
- M = 13
- N = 14
- O = 15
- P = 16
- Q = 17
- R = 18
- S = 19
- T = 20
- U = 21
- V = 22
- W = 23
- X = 24
- Y = 25
- Z = 26
Mkuu lengo langu ni kuweka wazi tu maarifa yaliyopo usije ukaghilibiwa na wanaojiita manabii. Haya maarifa yapo na kujifunza ni rahisi tu.Nishazoea hizi mambo hua ni kudanganyana tu, kipindi flan nlimsikiliza Dr Eliud Nasseco(Sina hakika kama jina la pili lipo sahihi) alifafanua mwaka huu utakua hv na hv sijui numerology namba hii ina maana hii...... Nikaona ule mwaka wa kukaaa meza moja na Bakhresa ndo huu sasa nikazama stationary nikanunua notebook nikaorodhesha tuvitu vitu .......ngoja ncheke kwanza tarudi
Fuatilia kama ukikuta tofauti njoo nipo hapa unikosoekwa nguvu kabisaMmnh
SawasawaFuatilia kama ukikuta tofauti njoo nipo hapa unikosoekwa nguvu kabisa
What? 😳😳Mi nasubiri unioe hapa,afu wewe unasemaje?
😂😂😂😂mambo ya x achana nayo bhanaWhat? 😳😳
Yaani nipeleke kwenu...
-Kishika uchumba,
-Mahari,
-Mkaja wa mamaako hadi mashemeji,
-Gharama za send-off,
-Gharama za harusi,
-Nijipendekeze kwenu ili nipendwe,
-Nipeleke taarifa kanisani au msikitini,
-Niwaite ndugu zangu waje kwenye harusi,
-Nikodi gari za kutosha kutupeleka nyumbani,
-Nikuandalie ghetto zuri na usafiri.
Halafu nije nikufume na sms za x wako kirahisi tu, aiseeeeh .....😥😥😥😥😥😥😥.
Naichukia ndoa
😂😂😂😂mambo ya x achana nayo bhanaWhat? 😳😳
Yaani nipeleke kwenu...
-Kishika uchumba,
-Mahari,
-Mkaja wa mamaako hadi mashemeji,
-Gharama za send-off,
-Gharama za harusi,
-Nijipendekeze kwenu ili nipendwe,
-Nipeleke taarifa kanisani au msikitini,
-Niwaite ndugu zangu waje kwenye harusi,
-Nikodi gari za kutosha kutupeleka nyumbani,
-Nikuandalie ghetto zuri na usafiri.
Halafu nije nikufume na sms za x wako kirahisi tu, aiseeeeh .....😥😥😥😥😥😥😥.
Naichukia ndoa
We mm bado kijana mbichi na sijafaidi utamu wa ulimwengu huu, sasa vipi nijikondeshe au kujitoa kwenye starehe za dunia hii kisa mapenzi.....😄😄😄😂😂😂😂mambo ya x achana nayo bhana
😂😂😂kumbe bado mbichi...kumbe hiyo ni sababu tosha....wanaoingia kwenye ndoa ni wanaume waliokomaa kiakili na kimwili....ndoa hutawaliwa na wenye nguvu tuWe mm bado kijana mbichi na sijafaidi utamu wa ulimwengu huu, sasa vipi nijikondeshe au kujitoa kwenye starehe za dunia hii kisa mapenzi.....😄😄😄
Kuwajenga kiakili na kiuchumi wewe kama nani?!Mwaka 2024 utakuwa mwaka ambao ntapata kila kitu kizuri na ntawagusa Sana watu ikwemo kuwajenga kiakilia na kiuchumi.🙏🏽
Je 28= 2+8 = 10Mwaka 2024 unatawaliwa na namba nane(8)katika unajimu na namba 8 katika numerolojia mara nyingi inahusishwa na mafanikio, ustawi, uongozi, na upatikanaji wa malengo. Inawakilisha sifa kama vile bidii, mamlaka, uongozi, na utulivu wa kifedha.
Namba hii inaashiria tuzo za kazi ngumu, uwiano kati ya maisha ya kimwili na kiroho, na uwezekano wa mafanikio makubwa katika maeneo mbalimbali. Nguvu ya namba 8 inahamasisha uwajibikaji, azimio, na usimamizi mzuri wa rasilimali.
Hata hivyo, mwaka 2024 unaweza pia kuwa na changamoto zake, ambazo zinaweza kuhitaji kujitolea, juhudi, na utayari wa kushughulikia mizozo au vikwazo vinavyojitokeza. Ni mwaka ambao unaweza kuleta ujasiri wa kuchukua hatua za kimaisha na kusonga mbele kufikia malengo ya muda mrefu. Kwa watu binafsi, inaweza kuwa wakati wa kutumia uwezo wao wa kipekee kufikia mafanikio na kukuza ustawi katika maeneo mbalimbali ya maisha yao.
Nane ni alama ya mzunguko usiokoma " Infinity"
(∞)
(2024)=2+0+2+4=8
Hapo utatakiwa kujumlisha tena yaani (1+0=1)Je 28= 2+8 = 10