Mwaka 2024 natangaza rasmi vita kali na members wa wanafiki kwa Rais Samia

Mwaka 2024 natangaza rasmi vita kali na members wa wanafiki kwa Rais Samia

Takataka ๐Ÿ—‘๏ธ๐Ÿ—‘๏ธ๐Ÿ—‘๏ธ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ
chama kinataka taarifa sahihi kuelekea uchaguzi sio unafiki wenu wa kunufaisha matumbo yenu wewe nakufahamu Jina lako na pia tunakufahamu unavyosumbua viongozi kwa uomba omba tunajua Nia yako ovu ya kwamba unampamba Rais kwa uongo ili upate chochote Sasa tafuteni hela kwa mfumo mwingine sio kwa ulaghai
 
chama kinataka taarifa sahihi kuelekea uchaguzi sio unafiki wenu wa kunufaisha matumbo yenu wewe nakufahamu Jina lako na pia tunakufahamu unavyosumbua viongozi kwa uomba omba tunajua Nia yako ovu ya kwamba unampamba Rais kwa uongo ili upate chochote Sasa tafuteni hela kwa mfumo mwingine sio kwa ulaghai
๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ
 
wapumbavu Sana hawa mimi nina taarifa zao na namna wanaw62

Tunajua mnavyosumbua viongozi mnajipendekeza kutumiwa chochote Kuna taarifa zako muhimu Sana zinazoonyesha kuwa umekuwa ombaomba kwa kusema uongo na kujipendekeza wamesema wamechoka nina orodha ya message zako za uombaomba zako soon ukiendelea nitazitoa Hadharani
Naona umevurugwa sana akili mpaka sasa network imeacha kushika kabisa na kuanza kuongea uongo wako hapa
 
Mkuu
Naomba Sana Sana Niko Chini Ya Miguu Yako
Wasamehe Watu Hao Hawajui Walitendalo
 
Mwaka 2024 naingia rasimi na maadui wa serikali ya Tanzania akiwemo Choice variable, Lucas mwashambwa na wengine wanaompamba Samia kinafiki huku wakijua kuwa Hali ya kisiasa kwa Samia ni ngumu mitaani kuwahi kutokea katika siasa za Tanzania

Hawa jamaaa wanasifia ujinga ujinga na unafiki mtupu huku wakijua kuwa gharama za maisha kwa wananchi zimekuwa ghali Sana zikiambana na uduni wa huduma za kijamii kama umeme kukatika katika hovyo maji kukatika katika hovyo rushwa imekithiri mitaani kupanda kwa nauli Mara dufu kupanda mafuta na bidhaa mbalimbali uzembe serikalini na kukwama kwa miradi mbalimbali.

TunAtaka Taifa la watu wakweli nA si wanafiki kupindukia wanaompaka mafuta mwenyekiti wa CCM kwa mgongo wa chupa
Vita iendelee
 
Usisahau kupanga na mipango yako na ya familia yako Mkuu.
 
Naona umevurugwa sana akili mpaka sasa network imeacha kushika kabisa na kuanza kuongea uongo wako hapa
sio uongo viongozi wakubwa Sana wanachukizwa na unavyojikomba kwao na unawadanganya watu kwamba wewe ni Usalama wa Taifa unawadanganya kuwatafutia connection
 
Mwaka 2024 naingia rasimi na maadui wa serikali ya Tanzania akiwemo Choice variable, Lucas mwashambwa na wengine wanaompamba Samia kinafiki huku wakijua kuwa Hali ya kisiasa kwa Samia ni ngumu mitaani kuwahi kutokea katika siasa za Tanzania

Hawa jamaaa wanasifia ujinga ujinga na unafiki mtupu huku wakijua kuwa gharama za maisha kwa wananchi zimekuwa ghali Sana zikiambana na uduni wa huduma za kijamii kama umeme kukatika katika hovyo maji kukatika katika hovyo rushwa imekithiri mitaani kupanda kwa nauli Mara dufu kupanda mafuta na bidhaa mbalimbali uzembe serikalini na kukwama kwa miradi mbalimbali.

TunAtaka Taifa la watu wakweli nA si wanafiki kupindukia wanaompaka mafuta mwenyekiti wa CCM kwa mgongo wa chupa
Wewe mwenyewe ulikua mnafiki kiwango cha lami kwa magufuli sasa umetemwa nje unaona wenzako ni wanafiki

Pumbavu kabsaa
Achana na sisi ni zamu yetu kulamba asali tulia kimya
 
Hakuna wanafiki kama Watanzania
Hivyo hao WA mtaani unaowasemea wenzio washaandaa kula ya ndio.
Achana na wajumbe.

Ila nitajie zama zlizosema kweli tu bila kudanganya?
Mwambie huyo chakubanga wengine washachanga pesa za kumchukulia mama fomu
 
wanafiki lazima wakome na wwaaache rasimi kulitumia vibaya Jina la Samia wanajipendekeza kupewa chochote hawan mbele wala nyuma hasa Lucas Mwashambwa amekuwa mnafiki kupitiliza na vijimtu hivi visivyo na kazi vinasifia upumbavu pumbavu hivi ili vipate kula tunaaamuru watafute kazi ya kufanya unafiki haulipi
Mbona wewe ulikua mnafiki kwa magufuli?
 
Ficha upumbavu wako. Hii style ya kutishia ni ya enzi za Nuhu
Samia si malikia anahitaji ridhaa ya wananchi kuchaguliwa kuendelea kumuongopea ni kuhatarisha uhai wa CCM aambiwe ukweli chama kubadili mwelekeo kuanzia 2024najua na wewe uko kundi la ombaomba FC
 
Mwaka 2024 naingia rasimi na maadui wa serikali ya Tanzania akiwemo Choice variable, Lucas mwashambwa na wengine wanaompamba Samia kinafiki huku wakijua kuwa Hali ya kisiasa kwa Samia ni ngumu mitaani kuwahi kutokea katika siasa za Tanzania

Hawa jamaaa wanasifia ujinga ujinga na unafiki mtupu huku wakijua kuwa gharama za maisha kwa wananchi zimekuwa ghali Sana zikiambana na uduni wa huduma za kijamii kama umeme kukatika katika hovyo maji kukatika katika hovyo rushwa imekithiri mitaani kupanda kwa nauli Mara dufu kupanda mafuta na bidhaa mbalimbali uzembe serikalini na kukwama kwa miradi mbalimbali.

TunAtaka Taifa la watu wakweli nA si wanafiki kupindukia wanaompaka mafuta mwenyekiti wa CCM kwa mgongo wa chupa
Chawa wote humu ndani 2024 hatuwataki mm hata vibandiko vyao sitavisoma nitapita njia tu
 
Back
Top Bottom