Mwaka 2024 natangaza rasmi vita kali na members wa wanafiki kwa Rais Samia

Takataka ๐Ÿ—‘๏ธ๐Ÿ—‘๏ธ๐Ÿ—‘๏ธ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ
chama kinataka taarifa sahihi kuelekea uchaguzi sio unafiki wenu wa kunufaisha matumbo yenu wewe nakufahamu Jina lako na pia tunakufahamu unavyosumbua viongozi kwa uomba omba tunajua Nia yako ovu ya kwamba unampamba Rais kwa uongo ili upate chochote Sasa tafuteni hela kwa mfumo mwingine sio kwa ulaghai
 
๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ
 
Naona umevurugwa sana akili mpaka sasa network imeacha kushika kabisa na kuanza kuongea uongo wako hapa
 
Mkuu
Naomba Sana Sana Niko Chini Ya Miguu Yako
Wasamehe Watu Hao Hawajui Walitendalo
 
Vita iendelee
 
Usisahau kupanga na mipango yako na ya familia yako Mkuu.
 
Naona umevurugwa sana akili mpaka sasa network imeacha kushika kabisa na kuanza kuongea uongo wako hapa
sio uongo viongozi wakubwa Sana wanachukizwa na unavyojikomba kwao na unawadanganya watu kwamba wewe ni Usalama wa Taifa unawadanganya kuwatafutia connection
 
Wewe mwenyewe ulikua mnafiki kiwango cha lami kwa magufuli sasa umetemwa nje unaona wenzako ni wanafiki

Pumbavu kabsaa
Achana na sisi ni zamu yetu kulamba asali tulia kimya
 
Hakuna wanafiki kama Watanzania
Hivyo hao WA mtaani unaowasemea wenzio washaandaa kula ya ndio.
Achana na wajumbe.

Ila nitajie zama zlizosema kweli tu bila kudanganya?
Mwambie huyo chakubanga wengine washachanga pesa za kumchukulia mama fomu
 
Mbona wewe ulikua mnafiki kwa magufuli?
 
Ficha upumbavu wako. Hii style ya kutishia ni ya enzi za Nuhu
Samia si malikia anahitaji ridhaa ya wananchi kuchaguliwa kuendelea kumuongopea ni kuhatarisha uhai wa CCM aambiwe ukweli chama kubadili mwelekeo kuanzia 2024najua na wewe uko kundi la ombaomba FC
 
Chawa wote humu ndani 2024 hatuwataki mm hata vibandiko vyao sitavisoma nitapita njia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ