Mwaka 2024 natangaza rasmi vita kali na members wa wanafiki kwa Rais Samia



Mimi ni team yako.
 
Wewe mwenyewe ni mnafiki na mramba miguu wa wana rubondo
 
umeshahau kuweka namba mkuu
 
Ficha upumbavu wako. Hii style ya kutishia ni ya enzi za Nuhu
Huyo ni mshamba maana anasema najikomba kwa viongozi wakubwa .halafu hapo hapo anasema nawadanganya kuwa nitawatafutia connection .sasa kama ni wakubwa nitawatafutiaje connection? Niwatafutie connection ya Nini wakati wao tayari ni wakubwa na wanaweza kuwasiliana na wakubwa wenzao?
 
wewwe koma kuwa unamsumbua yule kiongozi ukimwambia akutafutie connection your days are numbered
 
Uchawa haulipi
 
Bangi inamsumbua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…