JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,914
- 10,793
Kwa namna ambavyo viongozi wetu wanajitahidi kubinafsisha rasilimali zetu - Hadi 2050 Bara la Africa litaanza kuvunja mikataba na kuwafukuza wawekezaji maana hawana manufaa kama tunavyoaminishwa kwa sasa.
Wawekezaji watafukuzwa kama walivyofukuzwa wakoloni.
Wananchi watakuwa hawana pa kufanyia shughuli zao na hivyo watataka nchi yao
Wawekezaji watafukuzwa kama walivyofukuzwa wakoloni.
Wananchi watakuwa hawana pa kufanyia shughuli zao na hivyo watataka nchi yao