Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama hakuwepo mei mosi,karibu kwenye kilimo mkuuJuzi mishahara ya Watumishi wa Umma ilitoka ikiwa haina nyongeza hata chembe. Je ,Ina maana mwaka huu pia hakuna pekeji' mbona kazi!?
uongezewe mshahara umefanya nini cha zaidi kwenye kazi yakoJuzi mishahara ya Watumishi wa Umma ilitoka ikiwa haina nyongeza hata chembe. Je ,Ina maana mwaka huu pia hakuna pekeji' mbona kazi!?
Mimi nimmkulima ndugu,huo mshahara Ndio una boost kilimo!Mama hakuwepo mei mosi,karibu kwenye kilimo mkuu
Nimemsaidia mama kuupiga mwingi...Ndio maana Kila mtu ikiwemo wewe mnachekeleauongezewe mshahara umefanya nini cha zaidi kwenye kazi yako
Unajua maana ya maadili wewe!?unakujaj kulalamika jf maadil yapo wap?;si uende kwa afsa utumish wako ukajue shida nin.
Hapo jua mtumishi kasha tumia pesa yote ya mshahara ndo anakumbuka ntongeza za mshahara,Juzi mishahara ya Watumishi wa Umma ilitoka ikiwa haina nyongeza hata chembe. Je ,Ina maana mwaka huu pia hakuna pekeji' mbona kazi!?
ndio maana hujaongezwa mshahara..Nimemsaidia mama kuupiga mwingi...Ndio maana Kila mtu ikiwemo wewe mnachekelea
Huyu kwenye Avatar ni wewe.!? Jibu haraka nianze majukumu yangu ya siku , Leo ijumaa,!unakujaj kulalamika jf maadil yapo wap?;si uende kwa afsa utumish wako ukajue shida nin.
Kipenzi chetu Imam Hussein aliuwawa kikatili sana Karbala ili kulinda na kuutetea uislamu. Nasi Allah katupa Tawfiq. Lakini cha kuhuzunisha Sunni hawamuenzi Imam wetu wanamdhihaki kumtukana nakutudhihaki.Juzi mishahara ya Watumishi wa Umma ilitoka ikiwa haina nyongeza hata chembe. Je ,Ina maana mwaka huu pia hakuna pekeji' mbona kazi!?
He, Makubwa! 🤔Kipenzi chetu Imam Hussein aliuwawa kikatili sana Karbala ili kulinda na kuutetea uislamu. Nasi Allah katupa Tawfiq. Lakini cha kuhuzunisha Sunni hawamuenzi Imam wetu wanamdhihaki kumtukana nakutudhihaki.
Allah mwenyez Mungu mwingi wa rehma ampe qaul thabeet kipenzi chetu Imam.
GoodMimi nimmkulima ndugu,huo mshahara Ndio una boost kilimo!
KWENYE PENSHENI KUNA MTU AMEKUTA WAMEMUONGEZEA ELFU 4. LABDA WALIKOSA MAANA PENSHENI HUWA HAINA VITU KAMA HIVYOJuzi mishahara ya Watumishi wa Umma ilitoka ikiwa haina nyongeza hata chembe. Je, ina maana mwaka huu pia hakuna pekeji' mbona kazi!?