Mwaka huu nimejiwekea challenge tofauti

Mwaka huu nimejiwekea challenge tofauti

Muuza simu used

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2017
Posts
4,393
Reaction score
7,074
Sema kweli mwaka huu 2021 sitarudia tena uzembe wa ku date na pisi za kawaida sana! Nataka challenge mpya nataka nichukue pisi Kali tu na ikiwezekana mmojawapo nivute ndani kabisa!

Mtaji ama chambo nitachotumia ni uongo uongo mwingi na ukweli kidogo maana pisi kali bila chai [emoji477]️ za uongo na kweli utaishia kuchukua pisi mbovu mbovu! Nimechoka kuchukua pisi za kawaida!

N:B,kwenye mchakato huu sitaangalia Akili za mwanamke maana hazijawahi kumpeleka mwanaume popote [emoji28]
 
𝑾𝒆𝒘𝒆 𝒃𝒐𝒓𝒆𝒔𝒉𝒂 𝒌𝒊𝒑𝒂𝒕𝒐 𝒊𝒍𝒊 𝒖𝒂𝒄𝒉𝒂𝒏𝒆 𝒏𝒂 𝒌𝒖𝒖𝒛𝒂 𝒔𝒊𝒎𝒖 𝒖𝒔𝒆𝒅 𝒏𝒂 𝒃𝒂𝒅𝒂𝒍𝒂 𝒚𝒂𝒌𝒆 𝒖𝒖𝒛𝒆 𝒎𝒑𝒚𝒂.
 
Mkuu nakushauri ujipe challange ya kutafuta hela zaidi,Kumjua Mungu zaid na ,kujali afya yako zaidi
hayo mambo ya pisi kali yawe mambo ya option siyo lazima hadi ujiapizie
 
Haya hapa ndiyo malengo ya mwenzetu ambaye kama Taifa tunatarajia kufikia uchumi wa kati wa juu(upper middle income economy na kuwa nchi ya viwanda 2025!!)
 
𝑾𝒆𝒘𝒆 𝒃𝒐𝒓𝒆𝒔𝒉𝒂 𝒌𝒊𝒑𝒂𝒕𝒐 𝒊𝒍𝒊 𝒖𝒂𝒄𝒉𝒂𝒏𝒆 𝒏𝒂 𝒌𝒖𝒖𝒛𝒂 𝒔𝒊𝒎𝒖 𝒖𝒔𝒆𝒅 𝒏𝒂 𝒃𝒂𝒅𝒂𝒍𝒂 𝒚𝒂𝒌𝒆 𝒖𝒖𝒛𝒆 𝒎𝒑𝒚𝒂.

Kwenye uzi wangu hakuna neno kipato ndio madhara yakusoma shule za kata [emoji28]
 
mkuu nakushauri ujipe challange ya kutafuta hela zaidi,Kumjua Mungu zaid na ,kujali afya yako zaidi
hayo mambo ya pisi kali yawe mambo ya option siyo lazima hadi ujiapizie

Wapi nilipojiapiza mkuu![emoji28][emoji28]
 
Haya hapa ndiyo malengo ya mwenzetu ambaye kama Taifa tunatarajia kufikia uchumi wa kati wa juu(upper middle income economy na kuwa nchi ya viwanda 2025!!)

Unaishi nchi gani mkuu?huku Tanzania tupo uchumi wa kati tuna haki ya kujipongeza
 
Sema kweli mwaka huu 2021 sitarudia tena uzembe wa ku date na pisi za kawaida sana! Nataka challenge mpya nataka nichukue pisi Kali tu na ikiwezekana mmojawapo nivute ndani kabisa!

Mtaji ama chambo nitachotumia ni uongo uongo mwingi na ukweli kidogo maana pisi kali bila chai [emoji477]️ za uongo na kweli utaishia kuchukua pisi mbovu mbovu! Nimechoka kuchukua pisi za kawaida!

N:B,kwenye mchakato huu sitaangalia Akili za mwanamke maana hazijawahi kumpeleka mwanaume popote [emoji28]
Naunga mkono hoja
 
Binafsi naunga mkono mkakati wao, na naomba unijuze kila hatua tunayopiga...![emoji110]
Sema kweli mwaka huu 2021 sitarudia tena uzembe wa ku date na pisi za kawaida sana! Nataka challenge mpya nataka nichukue pisi Kali tu na ikiwezekana mmojawapo nivute ndani kabisa!

Mtaji ama chambo nitachotumia ni uongo uongo mwingi na ukweli kidogo maana pisi kali bila chai [emoji477]️ za uongo na kweli utaishia kuchukua pisi mbovu mbovu! Nimechoka kuchukua pisi za kawaida!

N:B,kwenye mchakato huu sitaangalia Akili za mwanamke maana hazijawahi kumpeleka mwanaume popote [emoji28]
 
Tupe sababu, kwanini huko nyuma hukua hivi?
 
Sema kweli mwaka huu 2021 sitarudia tena uzembe wa ku date na pisi za kawaida sana! Nataka challenge mpya nataka nichukue pisi Kali tu na ikiwezekana mmojawapo nivute ndani kabisa!

Mtaji ama chambo nitachotumia ni uongo uongo mwingi na ukweli kidogo maana pisi kali bila chai [emoji477]️ za uongo na kweli utaishia kuchukua pisi mbovu mbovu! Nimechoka kuchukua pisi za kawaida!

N:B,kwenye mchakato huu sitaangalia Akili za mwanamke maana hazijawahi kumpeleka mwanaume popote [emoji28]
kabla sijachangia niulize swali naweza pata simu used nifanye kutumia? Hii kitochi yangu inanisumbua sana.
 
vijana na uzinzi katika ubora.

dhambi ya uzinzi ni ile ile kwahyo kama umedhamiria kuifanya make it count!.. pita na pisi kali tu, kidogo utafarijika ukiwa unachomwa moto na mungu wako, ila kama ni pisi mbovu nnaamini hata maumivu yatakua mara 2 au zaidi.


"we are two steps away from a real disaster,
life set a pace everything's much faster,
Need to slow down and pray! REPENT"
shaggy-repent
 
Back
Top Bottom